George johnson
Member
- Oct 3, 2017
- 97
- 61
Anakukomoa wewe
TUANZIE HAPA KWANZA.. UMECHANGIA SHINGAPIIIIIIIIIIIIIIIII KWA WAGONJWA WENZIO... mana kidogo we unanafuu unachangia maoni JFBabuu ebu niondolee ushamba wako hapa , pesa wanazo wakina Jay z na wametulia na ndoa zao , hata kama wana cheat wanafanya siri siri , Ila waswahili kama nyie na malimbukeni msioenda shule mkipata dunia inakoma
Nani kampa gitaa hilo?si kuna taarifa kwamba tayari Dally Kimoko amemtembelea ndio maana Zari akaondoka? Asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu, Mambo mengi ya kipuuzi anayoyafanya kwa sasa tumsamehe gitaa la Kimoko sio mchezo
uzushi tu huo una uhakikaMiwaya, ngoma aka minyenyere
huyu jamaa usikute muongo tuNani kampa gitaa hilo?
Leo umenifurahisha binamuBabuu ebu niondolee ushamba wako hapa , pesa wanazo wakina Jay z na wametulia na ndoa zao , hata kama wana cheat wanafanya siri siri , Ila waswahili kama nyie na malimbukeni msioenda shule mkipata dunia inakoma
Umemaliza?Haya mambo anayofanya Diamond mitandaoni , hata wadogo zake akina young na dogo janja hawafanyi hivyo , diamond is no longer in experimental phase , kashafanya upuuzi wote, umri umeenda now , he has a family now , hata kama ameachana na mama watoto zake , mambo anayoyafanya kwenye mitandao ya kijamii ni fedheha kwa familia yake na kwake mwenyewe . Pengine anaona kaishika serikali mkononi hawana la kumfanya, Ila akumbuke we all reap what we sow, siku atakutana na pigo takatifu ndipo atakapojua kuwa pesa na umaarufu sio kitu .
Kama wazazi wake wameshindwa kumkanya na Serikali imeshindwa kumkanya, basi dunia ipo itamfundisha vizuri tu.
BADO MDOGO AKIKUA ATAACHAHaya mambo anayofanya Diamond mitandaoni , hata wadogo zake akina young na dogo janja hawafanyi hivyo , diamond is no longer in experimental phase , kashafanya upuuzi wote, umri umeenda now , he has a family now , hata kama ameachana na mama watoto zake , mambo anayoyafanya kwenye mitandao ya kijamii ni fedheha kwa familia yake na kwake mwenyewe . Pengine anaona kaishika serikali mkononi hawana la kumfanya, Ila akumbuke we all reap what we sow, siku atakutana na pigo takatifu ndipo atakapojua kuwa pesa na umaarufu sio kitu .
Kama wazazi wake wameshindwa kumkanya na Serikali imeshindwa kumkanya, basi dunia ipo itamfundisha vizuri tu.
Mimi nimemjibu aliyeuliza maana y dali kimoko....uzushi tu huo una uhakika
Dunia aijawai kukoma, ila nyie wenye roho kama za chatu ndio mnaokomaBabuu ebu niondolee ushamba wako hapa , pesa wanazo wakina Jay z na wametulia na ndoa zao , hata kama wana cheat wanafanya siri siri , Ila waswahili kama nyie na malimbukeni msioenda shule mkipata dunia inakoma
Ahsante kwa kunielewesha.. Maana wengine walikuwa wananijibu kwa misamiatiMiwaya, ngoma aka minyenyere
I see. Hio kibokoTAFUTA PESA MKUU AU SIVYO KILA SIKU UTALALAMIKA HUMU UKIONA WENYE PESA WAKITUMIA
kimoko ndio ninisi kuna taarifa kwamba tayari Dally Kimoko amemtembelea ndio maana Zari akaondoka? Asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu, Mambo mengi ya kipuuzi anayoyafanya kwa sasa tumsamehe gitaa la Kimoko sio mchezo
Kapuuzi kakiwekwa unitagi mkuuMkuu ungetuwekea na kapicha kaupuuzi alioufanya recently, wengine tunajua viupuuzi vya zamani tu.
UKIMWIkimoko ndio nini
UKIMWI
Hebu nipigie au nisemeshe PM kuna kitu tuongee mkuuKumbe ndio huo mimi nilishafanya maamuzi fulani hivi mazuri tu