Hivi decoder ya continental kwa sasa ina ubora?

Hivi decoder ya continental kwa sasa ina ubora?

hapa strong 4922 + pv, pale dish ft 6 kule intelsat 906 + nilesat huku samsung 49 LED.

sipendi ujinga kabsaa
 
StartTimes na ile antenna ya ndani inakamata? Nahitaji BBC tu na eneo lenyewe kufunga dish itakuwa shida.
 
Boss hivi dish ft 6 linaenda bei gani?

Then chanel na malipo yake zipo vipi?
Nitashukuru

dish peke yake bei yake ina-range kwenye laki 2 na kitu hiv. mi natumia FTA receiver so channels nazitafuta mwenyewe kwenye satellite & silipii chochote maana sijajiunga na provider yeyote kama azam/dstv/zuku.
 
Usijaribu, continental hawafai, niliachana nao nikanunua startimes, channel za ndani zote naona bure, picha stable
 
dish peke yake bei yake ina-range kwenye laki 2 na kitu hiv. mi natumia FTA receiver so channels nazitafuta mwenyewe kwenye satellite & silipii chochote maana sijajiunga na provider yeyote kama azam/dstv/zuku.
Mkuu naomba nikupm namna ya settings za FTA natumia Dstv ila nataka nijaribu na upande huo pia ikubali nitupilie mbali hawa mabepari...
 
Duuuh basi hiyo Continental ni majangest !! nishaghaili.

Vipi kuhusu ZUKU, wana decoder ambazo ni HD? naona kama quality ya picha zao sio nzuri kiviile, zimefifia !

-Kaveli-
 
ndugu kwa sasa tushasaau iyo continental mambo yote azam tv.mi ni fundi nyumba nying naitwa kufunga azam,star times nna zuku

Nami nilitaka kuchukua continental ila nimeghaili. Naona wengi wanasema ni king'amuzi cha hovyo kihuduma.

Mkuu mohamedidrisa789, embu nambie kuhusu ZUKU... wana decoder ambazo ni HD ? maana huwa naona picha zao sio quality kiviile, zimefifia fulani hivi.

-Kaveli-
 
Mi nilikuwa na cha antena, kikawa kinazingua kila siku, nikaenda ofisini kwao wakanishauri ninunue cha dish, nacho ni mzinguo full time, sasa Niko na Azam, ni poa sana. Hivi vya continental nataka gawa bure kwa atakaeniomba mwanzo.
mkuu nipe mimi
 
Mi nilikuwa na cha antena, kikawa kinazingua kila siku, nikaenda ofisini kwao wakanishauri ninunue cha dish, nacho ni mzinguo full time, sasa Niko na Azam, ni poa sana. Hivi vya continental nataka gawa bure kwa atakaeniomba mwanzo.
mkuu nipe mimi
 
Usijaribu, continental hawafai, niliachana nao nikanunua startimes, channel za ndani zote naona bure, picha stable
Hiyo startimes ulinunua lini? Hapa ya bure ni tbc tu na mm na tbc ni km paka na panya. Ktk channel ambao huwa sitaki kuiangalia ni tbc
 
Ukinunua continental dekoda umejiloga mwenyewe. Nilinunuaga sasa hivi natumia tu kama deki kuplay kwa USB. Wapo ovyo kabisa. Channel karibu zote ni zao wenyewe hakuna jipya watangazaji wale wale chanel karibu zote ujinga mtupu
 
Back
Top Bottom