Hivi Dar kuna nini kinachowamaliza wanaume?

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Oct 31, 2021
4,138
10,539
Dar kuna nini lakini mbona wanaume wanaukimbia uanaume wao sana sana wakiwa Dar?

mbona nasikia kuna mzunguko mkubwa sana wa Hela, sasa inakuwaje tena wasihangaike kutafuta?

FB_IMG_1683940464725.jpg
FB_IMG_1683940468708.jpg
FB_IMG_1683940472940.jpg
 
Dar kuna nini lakini mbona wanaume wanaukimbia uanaume wao sana sana wakiwa Dar?

mbona nasikia kuna mzunguko mkubwa sana wa Hela, sasa inakuwaje tena wasihangaike kutafuta?

View attachment 2619765View attachment 2619766View attachment 2619767
Watu wanatafuta umaarufu wa kijinga tu,


Tamaa hizi mbaya sana unataka ujulikane ili hali kipaji huna, thamani huna, hela huna,

Basi tu attention seeking so sad,


Ila mambo yao tuwaachie wenyewe 😒😁😁😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom