Hivi daktari akiumwa nae huenda kwa daktari? Au hujitibu tu mwenyewe?

Hivi daktari akiumwa nae huenda kwa daktari? Au hujitibu tu mwenyewe?

Xin shan low

Member
Joined
Jun 26, 2025
Posts
94
Reaction score
52
Leo nimejiskia hovyo nikaenda kwa dokta flani hospital flani, nilichojieleza na tiba niliyopewa naona kama haviendani

Kwasababu sasa ni masaa saba tayari, na hali ipo vile vile au inazidi pengine

Sasa hawa madokta wanatibiana au anajitibu mwenyewe?
Madaktari njoeni mseme
 
Wanajidungaga masindano hao.

Kwa viburi walivyonavyo hao madokta uchwara, yuko tayari kubinua tako moja ajidunge sindano ya KRISTAPENI kisha kazi iendelee kuliko kumpa nesi amshone.

Ningekuwa dokta ningedungwa sindano na manesi.
 
Hapa cha ajabu watajijibu watu baki wenyewe madaktari wamekaa kimyaa!
 
Leo nimejiskia hovyo nikaenda kwa dokta flani hospital flani, nilichojieleza na tiba niliyopewa naona kama haviendani

Kwasababu sasa ni masaa saba tayari, na hali ipo vile vile au inazidi pengine

Sasa hawa madokta wanatibiana au anajitibu mwenyewe?
Madaktari njoeni mseme
Kwani maji yakilowa(na) yanakaushwa na nini
 
Leo nimejiskia hovyo nikaenda kwa dokta flani hospital flani, nilichojieleza na tiba niliyopewa naona kama haviendani

Kwasababu sasa ni masaa saba tayari, na hali ipo vile vile au inazidi pengine

Sasa hawa madokta wanatibiana au anajitibu mwenyewe?
Madaktari njoeni mseme
it depends.Pia elewa sanaa ya Medical
System

Lazima uende Hosp kufanyiwa vipimo. Daktar hafanyi vipimo bali ana recommend vipimo. Vipimo vinafanywa na mtu wa maabara. Tengeneza picha wewe unapoenda Hosp, unafika tu na kwendq kumuona Dr ? Kuna chain utaipitia. That means Dr sio pekee yake hosp…. Kuna mtu wa dawa kuna mtu maabara kuna nurse …..etc na yeye atapaswa kupita huko

Pia kwa mfano, General Dr , anapoumwa ishu za Neurons ….. itamlazimu aende kwa specialist wa Neurology. Specialist wa Neurology anapoumwa Jino itabidi aende kwa Dentist, Dentist anapoumwa Cardiac itabidi aende kwa Cardiologist kwa maana yeye ni mtaalam wa meno na sio moyo …. Huko atatoka patupu

Daktar wa Cardiology akiumwa kansa itabidi aende kwa Oncologist,

Kama umemaanisha kuumwa malaria au kichwa nadhan hata nyie watu wa mtaan huwa mnajitibu. Utasikia mtu anasema nina UTI ngoja nikachukue « Sipro » 🤣

Kuna Magonjwa hata nyie wa kitaa mnajitibu wenyewe tu

Na sisi ndio ivo ivo
 
Back
Top Bottom