Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
Nimekuwa nikiangalia ukuaji wa vyama na nguzo za chama. Nimeona CUF inafanya vizuri sana Zanzibar, lakini Tanganyika hakuna kitu. Halafu kule Zanzibari nina wasiwasi kama Maalimu hatagombea mwingine anaweza kufikisha kura zake. Angalieni umri wake anachoka huyo sasa.
Labda ni wakati wa wanachama wa CUF kuangalia, isije ikawa ni chama chenye muhimili mtu.:hug:
Labda ni wakati wa wanachama wa CUF kuangalia, isije ikawa ni chama chenye muhimili mtu.:hug: