johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,598
- 141,415
Maalim Seif alikuwa ndio nguzo ya CUF na alipohama CUF nayo ikawa imekufa " kimsingi " Maalimu Seif akawa nguzo ya ACT Wazalendo ambayo wabunge wake wote ni wafuasi binafsi wa Seif. Kufariki kwa Maalim Seif kunaweza kuwa ndio mwanzo wa kifo cha ACT Wazalendo pia.
Lakini naamini Mwamba Zitto Kabwe atawavusha ACT Wazalendo.
Poleni sana ACT Wazalendo, Zanzibar, Wapinzani na wananchi wote wapenda amani Tanzania.
Maendeleo hayana vyama.
Lakini naamini Mwamba Zitto Kabwe atawavusha ACT Wazalendo.
Poleni sana ACT Wazalendo, Zanzibar, Wapinzani na wananchi wote wapenda amani Tanzania.
Maendeleo hayana vyama.