zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,100
- 26,113
kuupata urajis si rahisi hivyo mkuuPiga Interview, utaenda kuaniriwa Time ya Usimamizi wa SACCOS kama Mrajisi Msaidizi - Mshahara anayeanza ni kati ya TZS 2.54 MILLIONI - TZS 2.78 MILIONI hapo hiyo Basic Salary mkuu pia Kuna posho ya nyumba, Usafiri na Chakula si chini ya TZS 1.2 MILIONI - TZS 1.5 MILIONI uhakika wa Milioni 3 take home siyo Haba mkuu
hapo ataanza na afisha ushirika tena afadhari awe wa halmashauri na sio wa tume ya maendeleo (TCDC)
Hapo atasubiri sana