Hivi cooperative officer ii wana maisha kweli?

Hivi cooperative officer ii wana maisha kweli?

Piga Interview, utaenda kuaniriwa Time ya Usimamizi wa SACCOS kama Mrajisi Msaidizi - Mshahara anayeanza ni kati ya TZS 2.54 MILLIONI - TZS 2.78 MILIONI hapo hiyo Basic Salary mkuu pia Kuna posho ya nyumba, Usafiri na Chakula si chini ya TZS 1.2 MILIONI - TZS 1.5 MILIONI uhakika wa Milioni 3 take home siyo Haba mkuu
kuupata urajis si rahisi hivyo mkuu

hapo ataanza na afisha ushirika tena afadhari awe wa halmashauri na sio wa tume ya maendeleo (TCDC)

Hapo atasubiri sana
 
Hapo omba mshahara ufike million 1 tu😂 ila kuhusu upigaji huwezi kuwini.
 
kiwango cha mshahara ni kile kile tu TGS. Kwa sisi tunaowania kombe hizo za Utumishi tunaingia kwa grade II salary ni 865k. Ukijitahidi saana kupangwa labda uende TCDC ila apart from hapo naonaga wengi kwenye mikeka ya kazi huishia halmashauri tu. Sijui sasa kuhusu maslahi mengine kama sitting allowances, diem, seminar kuhusika kwenye donor funded projects kama huwafikia na hao cooperatives wananufaika nazo kama vile Economist II & Planning Officer II waliobahatika pata sehemu nzuri kama Wizarani, taasisi zenye abbreviation kama JFC, LATRA, EWURA etc watu waliopo board, ma Hazina huko etc etc..


sema nini mwanetu as long as unataka Utumishi tukafanye tu mzee. You'll never know utapigwa placement ukapangiwa field yako kabisa & sehemu tofauti (ukikaa kwenye database kama ulisoma Accounting waweza tupwa kwengine as account officer, au kama Economics ukapigwa planning officer au Mchumi II). Kapambane tu kama umeridhia unataka gavoo
 
Kuna office moja ya halmashauri niliwahi kuitembelea,nikaona hiyo idara ya ushirika,office ipo ipo tu,staffs wake wamevaa mashati ya vitenge yamepauka na masuruali makubwa.nikajisemea tu hapo ni njaa kwa kwenda mbele.
In short cooperative officer ni ngumu kutoboa
 
Back
Top Bottom