Hivi Congo ina bahari au haina bahari

Hivi Congo ina bahari au haina bahari

Kuna nchi mbili tofauti zinazotumia jina la Congo,

Kuna Congo DRC- Kinshasa ambayo haina bahari ( landlocked) ingawa Kuna eneo dogo inapakana Moja kwa Moja na bahari ya Atlantic.

Pili Ni Congo Brazaville ambayo inapakana na bahari ya Atlantic.

Ipi unayoulizia?
Congo DRC sio land locked ndg. Rwjea jografia yako vizuri
 
Goma ni eneo la DRC linalopakana na Rwanda, ni rahisi wao kutumia bandari za Africa mashariki (Dar, Tanga na Mombasa) kuliko bandari yao huko kwao katika Bahari ya Atlantic ambako ni mbali sana ukilinganisha na umbali kutoka Dar au Mombasa, pia ndani ya Congo hakuna usalama mkubwa kusafirisha mzigo kutoka Bandari yao upite katikati ya nchi kwa lori hadi Goma, barabara zao pia ni mbovu sana.
Boma siyo Goma
 
Boma siyo Goma


Mimi sizungumzii juu ya Boma (the DRC habour town), nazungumzia juu ya Mji wa Goma uliokuwa mashariki ya DRC, mji unaopakana na Rwanda.

Kutoka Goma kuja Dar ni karibu kuliko kutoka Goma kwenda Boma au Kinshasa.
 
Wewe mtoto wa siku zile msaidie sasa, sio kumshutumu, isitoshe umejuaje kwamba yeye ni mtoto??-- ni babu yako huyo kama hujui!!🤣🤣
Ni litoto la chips mayai hilo.
Mtu aliyeenda shule kuna maswali yake utamjua tu!
 
inayo had bandari ila mara nying wanatumia hii ya kwetu kwasabab nchi yao ni kubwa sana unakuta huu upande wetu pengne Ni karibu na sehem bidhaa inapo hitajika,, hi inachangiwa na Hali ya usalama wa ndan pia siyo mzur sana kuna sehem ukipita na gari hutoboi unaweza kutekwa
 
CONGO DRC HAINA.
CONGO BRAZAVILLE IPO..
hizo ni nchi mbili tofauti na hazipendani maana hata barabara za kuwa unga nisha hawanaa

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Huo ni mkondo tu wa bahari ,bahari ipo Angola kama wanayo bahari kwann hawana bandari waje kushusha bidhaa bandari ya Dar
Sasa kwa akili yako meli itatoka Asia izunguke mpaka maghàribi kwa congo si bora watumie bandari ya dar kwa mizigo ya China,India nk
 
Hakuna bahari.hapo unapopaona kwenye ramani kama pana bahari panaitwa Cabinda ni eneo la Angola kuna jambo lilitoka kipindi cha ukoloni wakapewa Angola

Duh, elimu haina mwisho.

Hii kitu sikuwahi kuiwaza kabisa, naona hapo kuna Angola chini na juu.
 
kwakweli hili swali tunge feli wengi sana,ngoja nichambue kwingine huko ingawa aliyeuliza swali walimuona mjinga lakini hatimae wajinga wamepatikana kwenye majibu

"maendeleo hayana chama""

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom