TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
Mkuu kesi imeshapelekwa Mahakamani,nadhani mbaka sasa unajua kinachoendelea!Mwisho wa siku mahakama itatamka wazi yule Tesha alimwagiwa tindikali na nani!huu ndiyo utawala wa sheria!kama umejifua ufahamu basi endelea kutukuza ujinga!Mbona hizo hisia zako uzionyeshi na kwa CHADEMA na kitendo walicho mfanyia kada wa CCM, Tesha, cha kumlowanisha na tindikali usoni na maeneo mbalimbali ya mwili?
Kama kweli wewe una utu basi ingekuwa ni vyema ukajumuika nasi katika kuiponda mawe CHADEMA kwa vitendo vyake vya kigaidi vya kumwagia raia wa Tanzania tindikali tena kisa mambo ya kiitikadi tu.