Hatutaki watanzania washabikie chama cha kikanda!
Kuna malalamiko ya wazi kila siku bungeni kuwa kanda fulani zimeendelea zaidi ya kanda fulani kinara wa hoja hii ni Mh. John Komba...na wabunge wengi wa CCM wanataka zamu ya kanda za kusini ianze sasa... kwa mantiki hii bado haupati picha UKANDA unafanywa na chama gani? Pemba kuna hata Uwanja wa ndege wa maana?