Electrician JF
Member
- Nov 28, 2019
- 5
- 133
Watu wengi huwa wanasema chipsi mayai ni hatari je ni kweli ni hatari kuliko miguu, utumbo, pamoja na vichwa vya kuku wakisasa? au kalmati, ndizi zilizokaangwa kwa mafuta na vitumbua? Au nyanya nazi za kopo au mboga mboga zilizotunzwa kwa madawa mashambani?
Ni viazi na mayai ndio vilivyopo kwenye chipsi mayai
Ni viazi na mayai ndio vilivyopo kwenye chipsi mayai