CHENGU MANURE
JF-Expert Member
- May 26, 2015
- 914
- 566
Nimemsikiliza kinana na mgombea wa chama hichowote wanalalamikia TANESCO, Serikali inailalamikia TANESCO.
Lowassa anailalamikia TANESCO, hivi hawa jamaa inamaanisha maelezo yao hayakueleweka pote kwa wananchi na wanasiasa.
Mbona wanaonewa aibu, wapo kama wanatoka nchi za nje na hakuna humu nchini wa kuhitaji ufafanizi wao.
Mimi sikuelewa kama gesi ni 305mw umeme unakuwa historia. vyazo vilivyopo leo bila gesi ya mtwara vyote jumla ni zaidi ya 1100mw lakini umeme haujawahi kuwa wakutegemewa.
Kweli mbele kwa mbele.
Lowassa anailalamikia TANESCO, hivi hawa jamaa inamaanisha maelezo yao hayakueleweka pote kwa wananchi na wanasiasa.
Mbona wanaonewa aibu, wapo kama wanatoka nchi za nje na hakuna humu nchini wa kuhitaji ufafanizi wao.
Mimi sikuelewa kama gesi ni 305mw umeme unakuwa historia. vyazo vilivyopo leo bila gesi ya mtwara vyote jumla ni zaidi ya 1100mw lakini umeme haujawahi kuwa wakutegemewa.
Kweli mbele kwa mbele.