KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Juzi nilikuwa nimekaa mahali fulani nikaona mabasi ya mepambwa bendera za CCM yakisubiri wananchi wapande ili wapelekwe kwenye mkutano nikawa sielewi ni kwa nini na hii siyo mara kwanza kwangu!
Siku nyingine nikiwa katika mihangaiko yangu nikiwa pale Karatu nikielekea Mbuli nikakutana na maroli,mengi yamebeba wananchi nilipo uliza nikaambiwa wanapelekwa kwenye mkutano wa uchaguzi!!!
Nikajiuliza maswali lakini sikupata jibu!!
Inamaana CCM hawawezi kwenda kwenye mahali husika na kufanya mkutano kuliko kuwasomba wananchi kama magunia? Je, hawaoni kama wanaweza kuwasababishia ajali wananchi? CCM kwanini msiwaige CHADEMA wananchi ndiyo wanafata mkuta siyo mkutano unawafata wananchi!!Je hii inaashiria nini kwa chama tawala?
Siku nyingine nikiwa katika mihangaiko yangu nikiwa pale Karatu nikielekea Mbuli nikakutana na maroli,mengi yamebeba wananchi nilipo uliza nikaambiwa wanapelekwa kwenye mkutano wa uchaguzi!!!
Nikajiuliza maswali lakini sikupata jibu!!
Inamaana CCM hawawezi kwenda kwenye mahali husika na kufanya mkutano kuliko kuwasomba wananchi kama magunia? Je, hawaoni kama wanaweza kuwasababishia ajali wananchi? CCM kwanini msiwaige CHADEMA wananchi ndiyo wanafata mkuta siyo mkutano unawafata wananchi!!Je hii inaashiria nini kwa chama tawala?