Hivi Bunge Lilisha au Linaendelea?

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,488
86,004
Habari za muda tena,

Nauliza swali, hivi bunge linaendela au wameshamaliza? Linanitia kichefuchefu tu, mara ukute robo tatu ya wabunge hawapo, waliopo wanasinzia tu... na kutumiana meseji za umb..eaaaa.

Sijui wako dunia gani
 
Back
Top Bottom