Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,367
- 100,408
Habari za muda tena,
Nauliza swali, hivi bunge linaendela au wameshamaliza? Linanitia kichefuchefu tu, mara ukute robo tatu ya wabunge hawapo, waliopo wanasinzia tu... na kutumiana meseji za umb..eaaaa.
Sijui wako dunia gani
Nauliza swali, hivi bunge linaendela au wameshamaliza? Linanitia kichefuchefu tu, mara ukute robo tatu ya wabunge hawapo, waliopo wanasinzia tu... na kutumiana meseji za umb..eaaaa.
Sijui wako dunia gani