Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,649
- 46,144
Naafiki baadhi ya mambo ila sio yotesidhani kama kupeleka vijana njee itasaidia kwasababu ubunifu sio kitu kinafundishwa tuna ma wasomi wengi wamesoma vyuo vikuu vikubwa nje lakini sio watu wa vumbuzi na watatua changamoto ,kwangu nachukulia ni kama tabia au uwezo ambao unajengwa kwa muda mrefu sio miaka miwili mitatu, wataalamu wa njee wanaweza kuletwa ndani kwa muda fulani wasaidie tu na kuongoza njia wapo wanafunzi na vijana nje ya mfumo wa elimu wana mawazo yao mazuri ila awana wa kuwapa njia na kuwasimamia kwasababu walimu wenyew wengi hata awajawahi kuwa wabunifu na wavumbuzi awawezi kuona mawazo ya kivumbuzi na kuyaongoza kutimiza adhma ya wazo husika
Kwa mfano mdogo tu kuna kijana sio msomi ila amebadili mfumo wa Bajaj kutoka kwenye mafuta na kuwa mfumo wa solar
Ila serikali haina Habari nae kabisa
Sasa kama vijana wakipelekwa nje kama Enzi za mwalimu kule Havana kufundishwa udaltari nk
Huwezi kuleta wachina wafundishe namna ya kutengeneza simu wakati huna hata vyombo na vifaa
Ndio maana nasema bora wakajifunze nje
Imagine engineers wakapelekwa Germany au Holland kujifunza zaidi kwenye viwanda vyao na kupata ujuzi hata kama ni wajenzi
Tatizo letu ni nidhamu ya kujituma hatuna ila unapopeleka vijana kwenda kuona na kujifunza kwa wenzetu wanakuwa na maadili zaidi na kuona wenzetu walivyo
Kikwete alisema natuma vijana Kenya wakajifunze namna ya kupakia vyakula na matunda kwenye maboksi REALLY yaani hata packaging hatuwezi wenyewe hebu lione hilo