The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
- Thread starter
- #21
Muulize blaki womani habari ya trafiki kwenye wiki ya nenda kwa usalama huwa wanakuwa na njaa kweli
Ha ha ha ha kwani uongo? unabishaaa.
Muulize blaki womani habari ya trafiki kwenye wiki ya nenda kwa usalama huwa wanakuwa na njaa kweli
Ha ha ha ha kwani uongo? unabishaaa.
Lol....walahi ningekuwa na sticker ya hivyo naibandika mbele ya kioo inakuwa peke yake zile zingine za insurance naziweka kioo cha nyuma
Hivi kodi zetu huwa zinaenda wapi?
Kuna jamaa alichomeshwa mahindi kwenye hiyo kitu mbona aliwajua vizuri jamaaukienda kudai upatiwe TAX Clearance certificate utajuta unaweza kupewa kodi ya ajabu unajiuliza walikuwa wapi siku zote waiskudai hiyo kodi yote hiyo ni mianya ya r****wa.....bila kurekebisha mfumo mzima hii kitu ni ndoto.......na mabadiliko mojawapo ni kujua kodi zeetu zinafanya kazi gani au ndio 80% anasa 20% maendeleao
Muulize blaki womani habari ya trafiki kwenye wiki ya nenda kwa usalama huwa wanakuwa na njaa kweli
Hivi kodi zetu huwa zinaenda wapi?
Mbona habari yake naijua vizuri tuliishapigishwa round sema tu kuna jamaa tulikuwa tunamfahamu ndio tukapata fastawanatoa kwa magari ya biashara kila mwaka.......hebu jaribu kwenda pale uombe hiyo sticker usikie mziki wake
Kuna jamaa alichomeshwa mahindi kwenye hiyo kitu mbona aliwajua vizuri jamaa
wanatoa kwa magari ya biashara kila mwaka.......hebu jaribu kwenda pale uombe hiyo sticker usikie mziki wake
Hahaha!!! Umenikumbusha kuna mama mmoja alisimamishwa na trafiki akaulizwa fire extinguisher akamwambia trafiki aangalia nyuma ya buti ya gari ile trafiki anacheki anakutana na square, mama wa watu akamkomalia trafiki kuwa ndio hiyo trafiki ilibidi amuache aende zake tuusiombe ndio kipindi cha mavuno bado hawajatoa ile ya fire extinguisher utajuta kuendesha gari
TF usiombe kwenda pale kufatuta hiyo kitu daaah nakwambia hii nchi ni madudu kila kona hakuna afadhali.............sasa ndio utegemee kila gari kuwa nayo
Mbona habari yake naijua vizuri tuliishapigishwa round sema tu kuna jamaa tulikuwa tunamfahamu ndio tukapata fasta
Ndio maana kuna jamaa yangu yeye akiagiza gari anawaambia jamaa wamalize kila kitu maana kuna siku alienda kufuatilia kitu kidogo tu akakaa siku nzima bila kuambulia chochoteTF usiombe kwenda pale kufatuta hiyo kitu daaah nakwambia hii nchi ni madudu kila kona hakuna afadhali.............sasa ndio utegemee kila gari kuwa nayo
Jamaa unawakuta hadi kwenye vichochoro vya kwend anyumbani kwako wanasubiri wakupige mkono ili mradi wacheki tu kama gari ina stickerafadhali wewe unamfahamu mtu sasa chukulia wakina sie huna hata binamu wa kusingiziwa pale unaambiwa njoo kesho mpaka mwishowe unaamua kusepa zako.....unabaki kuwakimbia traffic mpaka mwaka unakwisha
Hahaha!!! Umenikumbusha kuna mama mmoja alisimamishwa na trafiki akaulizwa fire extinguisher akamwambia trafiki aangalia nyuma ya buti ya gari ile trafiki anacheki anakutana na square, mama wa watu akamkomalia trafiki kuwa ndio hiyo trafiki ilibidi amuache aende zake tu
Hapa wamerudi kutoka kazini.......wanachoniudhi kwenye fire extinguisher wanataka ununue kwao wakati gari nyingine zinakuja nazo ukiwaonyesha wanazikataa yaaaani wizi mtupu..................kuna mzee mmoja alikuwa anaishi Marekani amekuja bongo na magari yake siku mmoja amekamatwa kuulizwa fire ex akaonyesha kadogo kared kapo kwenye gari traffic wakakataa wakamwambia hiyo sio fire ex yule mzee aliwatukana mbaya sana na amegoma kununua zile zao hadi leo.....zile ni za ukweli lakini huku bongo tunazikataa kama sio wizi nini
Ni kweli kabisa inauma sana, njia sahihi ni kuipiga chini serikali ya ccm 2015Hii kitu inawezekana sana, sema tu sisi watz hatuna utamaduni wa kuhoji kodi zetu zinatumika vipi. Hebu fikiria Mkuu wa wilaya na shangingi la ml. 80 anatembelea shule ya msingi isiyo na madirisha wala milango, kodi badala ya kurekebisha shule inaishia kwenye gharama kubwa za magari ya kifahari na mafuta ya safari za wakubwa