Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Naomba kuuliza jamani hasa kwenu MATAGA
Hivi Bombardier zinafanya kazi kweli au zimeshakufa?
Manake wiki Sasa inaisha hapa anga la mwanza naiona Airbus tu asubuhi,mchana na jioni
Bombardier zisizioni zinaruka kabisa wakati sio kawaida, eneo ninaloishi ni sehemu ambayo ndege zote zinazotua na kuruka uwanja wa Mwanza zinapita juu ya nyumba yangu lakini Mapangaboi siyaoni kabisa siku kadhaa sasa
Je, haya mapangaboi yapo wapi siku hizi?
Hivi Bombardier zinafanya kazi kweli au zimeshakufa?
Manake wiki Sasa inaisha hapa anga la mwanza naiona Airbus tu asubuhi,mchana na jioni
Bombardier zisizioni zinaruka kabisa wakati sio kawaida, eneo ninaloishi ni sehemu ambayo ndege zote zinazotua na kuruka uwanja wa Mwanza zinapita juu ya nyumba yangu lakini Mapangaboi siyaoni kabisa siku kadhaa sasa
Je, haya mapangaboi yapo wapi siku hizi?