Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,029
- 173,693
Kipindi flani tuko kisekondari kulikuwa na machizi watu wa story nyingi. Siku moja wakawa wanasimulia adhabu za jeshini.
Nakumbuka moja ya story ilikuwa kwamba kuna konda na dereva wa daladala walikuwa wamekatiza katika eneo la kambi ambako hawaruhusiwi. Mara ghafla wakataitiwa na wajuba wale bakabaka..Wakawaamuru dereva aendeshe gari kuzunguka uwanja na konda apige debe non-stop mpaka gari iishe mafuta kabisa..Basi unaambiwa jamaa walipiga kazi hadi ikafikia stage wanalia.🤣🤣🤣 Nilicheka sana.
Ingine ni madogo walifumaniwa wanaangua maembe katika shamba la jeshi. Baka baka waliokuwa doria waliwaotea madogo wakiwa na maembe mabichi mlima. Waliwahoji kidogo na hatimae wakawaamuru waanze kula maembe hadi yaishe 🤣🤣🤣 madogo wakala hadi meno ya kafa ganzi😂
Ingine kuna jamaa alipewa adhabu ajaze pipa la maji kwa kutumia kisoda 🤣🤣🤣
Hivi wakuu hizi adhabu kweli zipo jamani😂😂😂 au ilikuwa soga tu zile..Kama una kisa cha aina hii pia share basi tufurahi wote.
Nakumbuka moja ya story ilikuwa kwamba kuna konda na dereva wa daladala walikuwa wamekatiza katika eneo la kambi ambako hawaruhusiwi. Mara ghafla wakataitiwa na wajuba wale bakabaka..Wakawaamuru dereva aendeshe gari kuzunguka uwanja na konda apige debe non-stop mpaka gari iishe mafuta kabisa..Basi unaambiwa jamaa walipiga kazi hadi ikafikia stage wanalia.🤣🤣🤣 Nilicheka sana.
Ingine ni madogo walifumaniwa wanaangua maembe katika shamba la jeshi. Baka baka waliokuwa doria waliwaotea madogo wakiwa na maembe mabichi mlima. Waliwahoji kidogo na hatimae wakawaamuru waanze kula maembe hadi yaishe 🤣🤣🤣 madogo wakala hadi meno ya kafa ganzi😂
Ingine kuna jamaa alipewa adhabu ajaze pipa la maji kwa kutumia kisoda 🤣🤣🤣
Hivi wakuu hizi adhabu kweli zipo jamani😂😂😂 au ilikuwa soga tu zile..Kama una kisa cha aina hii pia share basi tufurahi wote.