Hivi bomba la gesi na lile la Tazama limenufaishaje nchi kabla ya kudanganywa la mafuta ya Uganda?

Bomba la gesi unataka nani alipe transit charge? Linatoka Mtwara linaishia Dar es Salaam au unachotaka nini zaidi juu la hili bomba? Bomba la TAZAMA lilijengwa kwa malengo ya kisiasa zaidi, kuilinda Zambia dhidi ya fitna za mabepari kuzuia mafuta kuingia Zambia, hayakuwa makubaliano ya kibiashara hayo. Upotoshaji wenu wa kisiasa unafanya uonyeshe ujinga wenu.
Hapa inaamana bomba la Gesi linachangia kiasi gani pato la taifa?
Serikali iwekee mazingira mazuri wa uchumi wetu wa Tanzania badala ya kutegemea hivi vipato vya Transit.
 
Si haba , kweli elimu yetu ni duni na wewe Return Of Undertaker ni mfano hai wa uduni wa elimu yetu. Bomba la mafuta kutoka Uganda wanalipa transit charge ya kupitisha nchini kwetu, kwa kila pipa moja la mafuta wanalipa 12$ USD. Bomba lina uwezo wa kupitisha mapipa 200,000 kwa siku. Sasa piga mahesabu mwenyewe, kwa mwaka ni kiasi kama si zaidi ya trilioni ?
Aisee nimesikitika sana, "eti pipa moja la mafuta litalipiwa on transit charges $12" hivi unajua pipa hilo hilo moja la mafuta linauzwa $ ngapi?.
 
Elimu yetu mbovu watawala wanaitumia kutudanganya mapka kiama kama tusipo amka ( kama rais Wa Kenya alipotuita sie watanganyika ni kama Maiti hatuwezi kuamka)

Kwa sasa habari kubwa ni kupita kwa bomba la mafuta la uganda kupitia bandari ya Tanga na kuonyesha kuna matrioni tutayapata ivi tuna akili sawasawa? Kama sie wakupitishiwa tutapata matrilion je mmiliki wa mafuta hayo atapata kiasi gani?

Tuache hayo kwanza hivi Serikali lini ishatoa faida za mabomba mawili la kwanza ni la TAZAMA yaani Tanzania na Zambia limeingiza kiasi gani? Na la pili la Gesi ya Mtwara limeahaingiza kiasi gani FAIDA au HASARA kwa taifa?

Watoe hayo majibu then waje na ngonjera ya bomba la mafuta ya Uganda.

Anayeshabikia hilo Bomba ni mshamba nambari wani! Mabomba yote na mitambo ya kuunganisha na heating stations zinatoka nje ya Tanzania ikiwa ni pamoja na technology. Faida au local content watakayopata Watanganyika ni kuwa madereva na vibarua katika huo mradi and it’s only short term pamoja na Mama lishe kuuza maandazi! Mnakumbuka miradi ya kutafuta Gesi na Mafuta chakula na vinywaji walikuwa wanapata kutoka Nairobi kwani huko Mtwara na Lindi hapa kuwepo na Maziwa au hata kuku wa kutosha kulisha wale waliokuwa kwenye hiyo miradi hata helicopter zilikodishwa kutoka Kenya. Badala ya kuwa fidia wale maeneo yao yatakuwa affected may be a sustainable local content ingekuwa “Land for Equity” yaani wangepata hisa kidogo kwenye umiliki wa Bomba and hata security ya Bomba ungekuwa local content ili kuepuka matatizo ya tress pass wakati wa operation and maintenance ya bomba la mafuta irrespective who is the de facto owner! Sasa hawa washamba wanakuja na ngonjera ya multiplier effect in the short term na kukenua meno! Local capacity to equitably participate in these projects ni hakuna how do you impose conditions when the contracts have been signed? Bomba la Gesi Asilia kutoka Mtwara hadi Dar walijenga Wachina tena kwa bei chafu tulipigwa na Wachina actually the Project was inflated by almost 100% 540 km kwa 1.5 billion USD halafu CCM wana endelea kutudanganya eti sisi ni mafala?na sijui what capacity was built na hata hakuna surplus pipes and fitting plus equipment procured for maintenance I am just asking ? Wajameni kila mtu anashangaa hata President anawashangaa! Ukiwachambua Watanzania you can write volumes of books???
 
Si haba , kweli elimu yetu ni duni na wewe Return Of Undertaker ni mfano hai wa uduni wa elimu yetu. Bomba la mafuta kutoka Uganda wanalipa transit charge ya kupitisha nchini kwetu, kwa kila pipa moja la mafuta wanalipa 12$ USD. Bomba lina uwezo wa kupitisha mapipa 200,000 kwa siku. Sasa piga mahesabu mwenyewe, kwa mwaka ni kiasi kama si zaidi ya trilioni ?
$12 nayo hela?
 
Si haba , kweli elimu yetu ni duni na wewe Return Of Undertaker ni mfano hai wa uduni wa elimu yetu. Bomba la mafuta kutoka Uganda wanalipa transit charge ya kupitisha nchini kwetu, kwa kila pipa moja la mafuta wanalipa 12$ USD. Bomba lina uwezo wa kupitisha mapipa 200,000 kwa siku. Sasa piga mahesabu mwenyewe, kwa mwaka ni kiasi kama si zaidi ya trilioni ?
hzo takwimu huwa hazitangazwi mbona
 
Bomba la gesi unataka nani alipe transit charge? Linatoka Mtwara linaishia Dar es Salaam au unachotaka nini zaidi juu la hili bomba? Bomba la TAZAMA lilijengwa kwa malengo ya kisiasa zaidi, kuilinda Zambia dhidi ya fitna za mabepari kuzuia mafuta kuingia Zambia, hayakuwa makubaliano ya kibiashara hayo. Upotoshaji wenu wa kisiasa unafanya uonyeshe ujinga wenu.
Nimecheka sana, unachotaka nini zaidi juu ya hili bomba
 
Si haba , kweli elimu yetu ni duni na wewe Return Of Undertaker ni mfano hai wa uduni wa elimu yetu. Bomba la mafuta kutoka Uganda wanalipa transit charge ya kupitisha nchini kwetu, kwa kila pipa moja la mafuta wanalipa 12$ USD. Bomba lina uwezo wa kupitisha mapipa 200,000 kwa siku. Sasa piga mahesabu mwenyewe, kwa mwaka ni kiasi kama si zaidi ya trilioni ?
Hizi mbwembwe tu mkuu..hata hayo mengine zilikuja ahadi kede kede.
 
Aisee nimesikitika sana, "eti pipa moja la mafuta litalipiwa on transit charges $12" hivi unajua pipa hilo hilo moja la mafuta linauzwa $ ngapi?.
DOMBWELA mimi sihitaji ligi hapa, kama wewe una facts zako lete, hili ni jukwaa huru. Bei ya mafuta ghafi kwenye masoko makubwa yote ni zaidi ya 60$ kwa pipa kwa sasa.
 
MIMI NILIPOAMBIWA
"acacia ni wanaume kwerikweri, wamekubali kulipa 450 trilion"
na gesi ya Ntwara ikazalisha mgao wa umeme..
Ninachoweza kuamini ni kwamba sasa NI ZAMU YA KANDA YA ZIWA.
 
Hapa inaamana bomba la Gesi linachangia kiasi gani pato la taifa?
Serikali iwekee mazingira mazuri wa uchumi wetu wa Tanzania badala ya kutegemea hivi vipato vya Transit.
Hichi ni kipato cha bure, ndio maana Tz walihangaika kufa na kupona kuwapokonya Kenya tonge mdomoni. Dhumuni la bomba la Uganda na bomba la gesi la Mtwara ni tofauti, bomba la gesi la Mtwara ni kwa ajili ya matumizi ya viwandani na nyumbani, mfano viwanda vingi vya Mikocheni vinatumia hii gesi na baadhi ya nyumba Mikocheni pia zimeunganishwa moja kwa moja na gesi.

Pia, bomba la Mtwara la Mtwara linatumika kuzalishia umeme mitambo ya Ubongo na hata IPTL badala ya kutumia mafuta ya diesel ambayo ghrama zinakuwa juu zaidi. Itoshe kusema hili bomba kufika Dar ilikuwa ni muhimu sababu ndio sehemu yenye viwanda vingi.
 
Elimu yetu mbovu watawala wanaitumia kutudanganya mapka kiama kama tusipo amka ( kama rais Wa Kenya alipotuita sie watanganyika ni kama Maiti hatuwezi kuamka)

Kwa sasa habari kubwa ni kupita kwa bomba la mafuta la uganda kupitia bandari ya Tanga na kuonyesha kuna matrioni tutayapata ivi tuna akili sawasawa? Kama sie wakupitishiwa tutapata matrilion je mmiliki wa mafuta hayo atapata kiasi gani?

Tuache hayo kwanza hivi Serikali lini ishatoa faida za mabomba mawili la kwanza ni la TAZAMA yaani Tanzania na Zambia limeingiza kiasi gani? Na la pili la Gesi ya Mtwara limeahaingiza kiasi gani FAIDA au HASARA kwa taifa?

Watoe hayo majibu then waje na ngonjera ya bomba la mafuta ya Uganda.
Imefika kwa walengwa
 
Bomba la gesi unataka nani alipe transit charge? Linatoka Mtwara linaishia Dar es Salaam au unachotaka nini zaidi juu la hili bomba? Bomba la TAZAMA lilijengwa kwa malengo ya kisiasa zaidi, kuilinda Zambia dhidi ya fitna za mabepari kuzuia mafuta kuingia Zambia, hayakuwa makubaliano ya kibiashara hayo. Upotoshaji wenu wa kisiasa unafanya uonyeshe ujinga wenu.
Aisee kwel kama kitu hukijib uliza nasio kulalama mana utaumbuka
Jibu lina mantiki sana
 
Mchina ndio anatakiwa alipie bomba la gesi, maana gesi yenyewe ni yake, bandari ya Bagamoyo pia yake kwa miaka 50. Alipe kwa kutumia ardhi yetu kupitishia hiyo mali.
Mkuu kweli? Bagamoyo Port ni mali ya mchina?
 
Si haba , kweli elimu yetu ni duni na wewe Return Of Undertaker ni mfano hai wa uduni wa elimu yetu. Bomba la mafuta kutoka Uganda wanalipa transit charge ya kupitisha nchini kwetu, kwa kila pipa moja la mafuta wanalipa 12$ USD. Bomba lina uwezo wa kupitisha mapipa 200,000 kwa siku. Sasa piga mahesabu mwenyewe, kwa mwaka ni kiasi kama si zaidi ya trilioni ?
Hizo figure kama zilitolewa na mwanasiasa wa bongo kuna mawili hapo aidha katulisha tango pori kwa kututajia amount ndogo iwe rahisi kwa wao kupiga cha juu au wametudanganya amount ni ndogo zaidi ya hiyo ila wametaja kubwa kupata publicity
 
Anayeshabikia hilo Bomba ni mshamba nambari wani! Mabomba yote na mitambo ya kuunganisha na heating stations zinatoka nje ya Tanzania ikiwa ni pamoja na technology. Faida au local content watakayopata Watanganyika ni kuwa madereva na vibarua katika huo mradi and it’s only short term pamoja na Mama lishe kuuza maandazi! Mnakumbuka miradi ya kutafuta Gesi na Mafuta chakula na vinywaji walikuwa wanapata kutoka Nairobi kwani huko Mtwara na Lindi hapa kuwepo na Maziwa au hata kuku wa kutosha kulisha wale waliokuwa kwenye hiyo miradi hata helicopter zilikodishwa kutoka Kenya. Badala ya kuwa fidia wale maeneo yao yatakuwa affected may be a sustainable local content ingekuwa “Land for Equity” yaani wangepata hisa kidogo kwenye umiliki wa Bomba and hata security ya Bomba ungekuwa local content ili kuepuka matatizo ya tress pass wakati wa operation and maintenance ya bomba la mafuta irrespective who is the de facto owner! Sasa hawa washamba wanakuja na ngonjera ya multiplier effect in the short term na kukenua meno! Local capacity to equitably participate in these projects ni hakuna how do you impose conditions when the contracts have been signed? Bomba la Gesi Asilia kutoka Mtwara hadi Dar walijenga Wachina tena kwa bei chafu tulipigwa na Wachina actually the Project was inflated by almost 100% 540 km kwa 1.5 billion USD halafu CCM wana endelea kutudanganya eti sisi ni mafala?na sijui what capacity was built na hata hakuna surplus pipes and fitting plus equipment procured for maintenance I am just asking ? Wajameni kila mtu anashangaa hata President anawashangaa! Ukiwachambua Watanzania you can write volumes of books???
Shukrani
 
Anayeshabikia hilo Bomba ni mshamba nambari wani! Mabomba yote na mitambo ya kuunganisha na heating stations zinatoka nje ya Tanzania ikiwa ni pamoja na technology. Faida au local content watakayopata Watanganyika ni kuwa madereva na vibarua katika huo mradi and it’s only short term pamoja na Mama lishe kuuza maandazi! Mnakumbuka miradi ya kutafuta Gesi na Mafuta chakula na vinywaji walikuwa wanapata kutoka Nairobi kwani huko Mtwara na Lindi hapa kuwepo na Maziwa au hata kuku wa kutosha kulisha wale waliokuwa kwenye hiyo miradi hata helicopter zilikodishwa kutoka Kenya. Badala ya kuwa fidia wale maeneo yao yatakuwa affected may be a sustainable local content ingekuwa “Land for Equity” yaani wangepata hisa kidogo kwenye umiliki wa Bomba and hata security ya Bomba ungekuwa local content ili kuepuka matatizo ya tress pass wakati wa operation and maintenance ya bomba la mafuta irrespective who is the de facto owner! Sasa hawa washamba wanakuja na ngonjera ya multiplier effect in the short term na kukenua meno! Local capacity to equitably participate in these projects ni hakuna how do you impose conditions when the contracts have been signed? Bomba la Gesi Asilia kutoka Mtwara hadi Dar walijenga Wachina tena kwa bei chafu tulipigwa na Wachina actually the Project was inflated by almost 100% 540 km kwa 1.5 billion USD halafu CCM wana endelea kutudanganya eti sisi ni mafala?na sijui what capacity was built na hata hakuna surplus pipes and fitting plus equipment procured for maintenance I am just asking ? Wajameni kila mtu anashangaa hata President anawashangaa! Ukiwachambua Watanzania you can write volumes of books???
Shukrani
 
Back
Top Bottom