Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,877
- 31,632
Nauliza si kwa ubaya.
Sijasikia suala la kuwashughulikia wale wanaojihusisha na biashara ya madawa ya kulevya kama kipindi kile cha awamu iliyopita namna walivyokuwa wanapambana nao na kuwataja kwa majina wazi wazi.
Ila tangu afariki sijasikia tena zile harakati zikiendelea.
Nini kipo nyuma ya pazia?
Sijasikia suala la kuwashughulikia wale wanaojihusisha na biashara ya madawa ya kulevya kama kipindi kile cha awamu iliyopita namna walivyokuwa wanapambana nao na kuwataja kwa majina wazi wazi.
Ila tangu afariki sijasikia tena zile harakati zikiendelea.
Nini kipo nyuma ya pazia?