Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,726
- 19,869
Anakupenda ila hujajua....
Na siku ya kujua utafurahi wewe we acha tu.
Anakupenda ila hujajua....
Tumia akili unapo andika sio unaandika andika tu. lione.nenda chuo na weka elimu mbele ukija kupata kari au ukawa na hela atakuja mwenyewe ,do u remember baby i told u i love u so much that time ,sasa hapo unamwambia unakumbuka zile kalender????????????????
we dubu yaani wewe ni lidubu kabisa hapo kulingana na thread yenyewe unataka nimwambie nini amfunge kamba ???????????? Mshauri akasome apate maendeleo huyo atakuja tuu kha wewe vipi mshauri mazuri zaid ya hayo tuyaone basitumia akili unapo andika sio unaandika andika tu. Lione.
we dubu yaani wewe ni lidubu kabisa hapo kulingana na thread yenyewe unataka nimwambie nini amfunge kamba ???????????? Mshauri akasome apate maendeleo huyo atakuja tuu kha wewe vipi mshauri mazuri zaid ya hayo tuyaone basi
Wanawake wote mama yao mmoja baba yao mmoja,kua uyakute,hilo lako trela tu subiri muvi.
ELIMU KWANZA! Mapenzi baadae!
yaani wewe ndio mshamba na mpotoshaji lione mijicho ka ya dubu kweliacha ushamba wewe. loine..
Kuna msichana ambaye nilimaliza naye sekondari kidato cha nne mwaka 2009 mpaka sasa tumemaliza kidato cha sita tukisubiri post za chuo.Aliwahi kunitamkia kuwa ananipenda na mimi nikamkumbalia lakini cha kushangaza sana mapenzi yetu yamekuwa ni ya kwenye simu tu kiasi huwa nakosa muda wa kukaa naye ili tuzungumze juu ya mahusiano yetu na pia nimeshakwenda nyumbani kwao mara nyingi lakini nikimuuliza atakuja lini nyumbani apajue ananipiga kalenda na hata mama yangu anajua nipo naye lakini hajawahi kumuona.Je hivi ni kweli ananipenda au ananipotezea muda? msaada wenu wadau