Hivi Ameoa au Ameolewa?

Hivi Ameoa au Ameolewa?

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,092
217164_276300922470699_78790923_n.jpg
 
Aisee hiyo nimeipenda sana,kuna siku nilibeba mwanangu mgongoni(bila kanga) tukiwa na mama yake,tulivyokuwa tunapita mtaani watu walikuwa wanashangaa,wengine walifurahia hicho kitendo.Kwa hapo sioni kama jamaa kaolewa ni mambo ya kawaida na ni uamzi.
 
Wa Kushoto....ameolewa
Wa kulia.........ameoa.
 
ah vzr km wanatembea distance ndefu mama ndo abebe peke yk!vzr kusaidiana
 
na maranyingi ukiona hivi, ujue mtoto anaumwa anapelekwa hospital fulani,,, ma baba wa ukweli huwa wanapenda sana kubeba watoto wakiwa kwenye hali hii na mazingira hayo ya afya ya mtoto
 
Kama ndo hivi naanza kusambaza kadi za mchango, invisible tangaza
tarehe ya kikao cha kwanza na venue. Mbuzi mzee mwenyekiti wa kamati.
 
Jambo la uhakika ni kwamba hiyo familia siyo ya watu wa Mkoa wa Mara Wilaya za Tarime, Serengeti na Bunda.
 
Sio bure ipo namna

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Issue ni kubeba mtoto au kubeba mgongoni kwa kutumia kanga?
 
dad-using-Moby-wrap-baby-carrier.jpg





dad-wearing-mei-tai-while-mowing-lawn.jpg






dads-love-the-ERGO-Baby-carrier.jpg



Sharing responsibilites, sasa anatofauti gani na hawa....acheni mawazo ya kizamani
 
Back
Top Bottom