HIV test online.

HIV test online.

Bishanga

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2008
Posts
15,321
Reaction score
10,077
Enyi machichatter,nimekuwa nikifuatilia nyendo zenu kwa makini sana na nimegundua yafuatayo:
1. Mnatongozana sana
2. Tongozana zenu nyingi haziishii kwenye keyboard,mnachukua hatua moja zaidi.
3. Matokeo yake wengi mnapigiana simu na kukutana pia.
4. Binadamu ni binadamu wengi wenu mnaishia kurengetana ( which is vere gud).
Hapa chi chat neno la bishanga ni alfa na omega,sitaki mtu anibishie kwa niliyosema hapo juu.
Kwa kukusaidieni ili kideti cha kwanza msipoteze muda kwenda angaza au kuingia gharama za vitendea kazi, nyie mkutane moja kwa moja gesti na ikiwezekana msalule mlangoni,hivyo basi:
Kwa kushirikiana na watafiti mahiri wa JHopkins University ya marekani tunakuleteeni kipimo cha hechiaivii on line, mnapima na majibu mnapata hapa hapa.Kwa maelezo zaidi niPM.
UKIMPENDA UTAMJALI!
 
Bishanga bhana umejuaje kama wana ChitChat wanaenda hatua mbele zaidi?,
Au wewe ndio yule mwenye ma-ID mengi?
Utafiti wako nina wasiwasi nao.
 
kawaida mbona hiyo sa unataka tuu watu waishie online bana istoshe watu wenyewe ni weng wapo hapahapa nanjilinji, katavi,mtomdolioto aaah bishanga wachamambo yako sema tuu labda wawe serious tu na wakifanyacho heheheeee wakora waitu
 
Enyi machichatter,nimekuwa nikifuatilia nyendo zenu kwa makini sana na nimegundua yafuatayo:
1. Mnatongozana sana
2. Tongozana zenu nyingi haziishii kwenye keyboard,mnachukua hatua moja zaidi.
3. Matokeo yake wengi mnapigiana simu na kukutana pia.
4. Binadamu ni binadamu wengi wenu mnaishia kurengetana ( which is vere gud).
Hapa chi chat neno la bishanga ni alfa na omega,sitaki mtu anibishie kwa niliyosema hapo juu.
Kwa kukusaidieni ili kideti cha kwanza msipoteze muda kwenda angaza au kuingia gharama za vitendea kazi, nyie mkutane moja kwa moja gesti na ikiwezekana msalule mlangoni,hivyo basi:
Kwa kushirikiana na watafiti mahiri wa JHopkins University ya marekani tunakuleteeni kipimo cha hechiaivii on line, mnapima na majibu mnapata hapa hapa.Kwa maelezo zaidi niPM.
UKIMPENDA UTAMJALI!

Kumbe machit machata ndivo mlivo...........
 
yote kwa yote ukimwi upo na unaua utakufa bila kutimiza malengo yako pima afya na mtulizane
 
Back
Top Bottom