Hiv hisia za mapenz zinasaidia nin?

Chadema 2030

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
1,916
Reaction score
3,748
Si bora mtu awe na hisia za pesa na utajiri kuliko hisia za kimapenz.mapenzi n upumbavu mkubwa wa umaskini. bora kuwa mseja kuliko kuwa mtumwa wa hisia za kimaskini.kutaman mwanamke n upumbavu mkubwa tamani utajir na nguvu.
 
mapenzi hakuna na wala haipo kamwe na wala haitawahi kuwepo
 
Unakataa ndoa unaweka wanaume dp lahaula lakwata
 
Mtu ambaye hana time ya kujihusisha na mapenzi kwa namna yoyote ile huwa hapati hata muda wa kuyaongelea.

Ana focus na maisha yake tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…