Hits Tanzania ni mtandao gani?

Hits Tanzania ni mtandao gani?

Mavella

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
459
Reaction score
76
Jana niliserch network manually eneo nililokuwa nikakuta kuna mtandao unaitwa HITZ TZ. Je hii ni kampuni gani?
 
Wanaojua tupeni maelezo vizuri hiyo hittz ni viettel!
 
Jana niliserch network manually eneo nililokuwa nikakuta kuna mtandao unaitwa HITZ TZ. Je hii ni kampuni gani?

Mkuu kwani upo Eneo gani?

Personally siujui huo mtandao ila kwa kuwa kuna tetesi za mtandao Mpya kuwa Launched October naweza sema ni huo
 
Huu ni mtandao wa simu ambao ulikuwa uanze kufanya kazi Tanzania tangu mwaka 2010.walijenga minara kwenye miji mikuu na baadhi ya highways hapa TZ! HQ ya hii kampuni ilikuwa pale Jirani na Heineken house mikocheni kama unatokea mjini kuna jengo hapo ambalo kwa sasa linafanyiwa ukarabati na walijenga mnara mkubwa sana pale! Ila 2012 walishindwa kufungua hiyo kampuni kwa sababu ambazo sizielewi, wakango'a baadhi ya minara wakahamia DRC. Kuna minara mingi tu waliacha na bado iko idle! Nafikiri nimekujibu mkuu!
 
Huu ni mtandao wa simu ambao ulikuwa uanze kufanya kazi Tanzania tangu mwaka 2010.walijenga minara kwenye miji mikuu na baadhi ya highways hapa TZ! HQ ya hii kampuni ilikuwa pale Jirani na Heineken house mikocheni kama unatokea mjini kuna jengo hapo ambalo kwa sasa linafanyiwa ukarabati na walijenga mnara mkubwa sana pale! Ila 2012 walishindwa kufungua hiyo kampuni kwa sababu ambazo sizielewi, wakango'a baadhi ya minara wakahamia DRC. Kuna minara mingi tu waliacha na bado iko idle! Nafikiri nimekujibu mkuu!

Inaelezwa wamiliki walifarakana na kupelekea mgogoro wa kimaslahi..wakashiondwa kulipa wafanyakazi! kampuni ikafa japo wengi hudhani ilifilisika! Rosti tamu Laaziz alihusishwa pia!
 
hata mm nimeupata lakini unaonekana ni 2G kwa hapa nilipo
 
ImageUploadedByTapatalk1442003492.223070.jpg
Nilichokigundua ni kuwa, eneo ambapo naipata Vietel hii Hits Tz haipatikani. Hivyo kwaufupi yawezekana Hits Tz ndio Vietel
 
View attachment 285883
Nilichokigundua ni kuwa, eneo ambapo naipata Vietel hii Hits Tz haipatikani. Hivyo kwaufupi yawezekana Hits Tz ndio Vietel
Inawezekana sababu sehemu walipojenga hii minara mipya ya vittel ndio inapatikana hii hits tz, kwahiyo itakuwa hawa vittel wamewasha inara yao ila hawajaanza huduma.
 
Ni vietnam ila bado hawajaanza kuuza wanatumia wafanya kazi wao tu...3g everywhere
 
Hits tanzania ni kampuni iliyokua inaitwa Excellentcom tanzania ltd ambayo ilikua ianze kazi zake mwishoni mwa mwaka2010 au mwanzoni 2011
 
Hata mimi napata. Nipo Tanga mjini
 

Attachments

  • 1442039060694.jpg
    1442039060694.jpg
    23.9 KB · Views: 261
Ila hii sidhani kama ni vietell kwasababu. Vietell wanatumia fiba. Huku ninapo kaa wamekita nguzo tu.. Hawajaweka waya bado... Inakuaje nipate hii... Hivyo huenda huu ni mtandao mW engine tofauti na vietell
 
Hits inamilikiwa na familia ya rais mstaafu Ally Hassan Mwinyi kama local investor
 
Back
Top Bottom