Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,129
- 35,148
Mengine yote sijui, lakini kwenye suala la akili, maarifa, ujanja, kupenda elimu, wakazi wa jiji la Arusha wako mbele sana, sidhani kama kuna mji au jiji linaweza kuwafikia.
Na ndio maana hata kimapato wako vizuri kushinda Mwanza..Mengine yote sijui, lakini kwenye suala la akili, maarifa, ujanja, kupenda elimu, wakazi wa jiji la Arusha wako mbele sana, sidhani kama kuna mji au jiji linaweza kuwafikia.
Mbona unapost leo kisa umeona mpo hap angalia Uzi wa Lin ushavvaa mitumba hapo mpaka boxer ngoja kuchubuka mapumbu tuNa ndio maana hata kimapato wako vizuri kushinda Mwanza..
Msema kwenye ni mpenzi wa Mungu 👇
View attachment 2214012
View attachment 2214014
Kwenye battle yenu simo ila Mwanza town kuna Ilemela MC pia hivyo kwa mtu mgeni akifika Mwanza hawezi jua wapi ni Mwanza jiji na wapi ni Ilemela.Na ndio maana hata kimapato wako vizuri kushinda Mwanza..
Msema kwenye ni mpenzi wa Mungu 👇
View attachment 2214012
View attachment 2214014
Hata ujumlishe mapato ya Ilemela na Mwanza CC huwa hayazidi ya Arusha,bali hulingana tuu..Kwenye battle yenu simo ila Mwanza town kuna Ilemela MC pia hivyo kwa mtu mgeni akifika Mwanza hawezi jua wapi ni Mwanza jiji na wapi ni Ilemela.
Una stress Sana mkuu,kunywa maji afu urudi kuandika vizuri Ili ueleweke 😆😆Mb
Mbona unapost leo kisa umeona mpo hap angalia Uzi wa Lin ushavvaa mitumba hapo mpaka boxer ngoja kuchubuka mapumbu tu
Kwa lip sasa daily unakuja kutetea 🤣🤣hujiamini au kunywa maji safi uache kuoza meno paka weUna stress Sana mkuu,kunywa maji afu urudi kuandika vizuri Ili ueleweke 😆😆
Trillion 21 zinalingana na trillion 18? Huko makete ndo mnafundishwa hivyo eti!Hata ujumlishe mapato ya Ilemela na Mwanza CC huwa hayazidi ya Arusha,bali hulingana tuu..
Majibu ya final account ni mwezi wa 8 so punguza mihemko..Trillion 21 zinalingana na trillion 18? Huko makete ndo mnafundishwa hivyo eti!
Majibu ya final account ni mwezi wa 8 so punguza mihemko..
Arusha inatakiwa kukusanya 23 bln na wako 80%
Sasa ziko wapi hizo pesa kila siku mnapigwa fimbo na Arusha?Ilemela na nyamagana zinatakiwa kukusanya 27 bln punguza kudemka.
Na Sasa nyamagana wako 80% na ilemela 77%
Haya 23 bln na 27 bln zinalingana?
Eti Tabora ni Toronto ya Tanzania, wajameeeni hvi haya maneno huwa yanatoka kwenye vinywa vya kulia chakula kweli?Ilo jina TU NI sawa na singida kwetu tunaita SINGAPORE je kweli inataka kufanana na singay...wahuni tu waliamua kuitungia lete facts za kustahili kuitwa Geneva.....TU BASE KWENYE MAGHOROFA PEKEE MWANZA TOWN NA ARUSHA TOWN KUPI KUNA VIBERITI VYA KWENDA VYA MAANA?
Kama unavyonuka nyumaSijawahi kuchangia mada kuhusu hii Battle lakini MWANZA kunanuka sana.
😂😂😂😂💉💉💉💉Kama unavyonuka nyuma
Tuliza mshono mama wa kisukumaKama unavyonuka nyuma
, msukuma aliyekutelekeza gesti hayuko humu JF.Sasa ziko wapi hizo pesa kila siku mnapigwa jumbo na Arusha?
Driving on Arusha bypass Road 👇
Hujaziona hizo 21B za mwanza dhidi ya 18B za Arusha na wakati umepost mwenzewe! Au ndo kujitoa akili! Naona umehamia kwenye Barabara ili mradi tu udemke, ebu nuna kwanza na mikoa inayoongoza kwa matumizi ya mafuta nchini, yaani unune uvute Domo kabisa, sawa.Sasa ziko wapi hizo pesa kila siku mnapigwa fimbo na Arusha?
Driving on Arusha bypass Road
Huna hata aibu kujipika kifua,hizo bil.21 ziko wapi? Yaani unauzungumzia makisia badala ya kuzungumzia mapato halisi?Hujaziona hizo 21B za mwanza dhidi ya 18B za Arusha na wakati umepost mwenzewe! Au ndo kujitoa akili! Naona umehamia kwenye Barabara ili mradi tu udemke, ebu nuna kwanza na mikoa inayoongoza kwa matumizi ya mafuta nchini, yaani unune uvute Domo kabisa, sawa.
1. Dar-lita bilioni 1.1
2.Mwanza-lita 278 milioni
3.Pwani-lita 253 milioni
4.Arusha-lita 252 milioni
5.Dodoma-lita 212 milioni
6.Mbeya-lita164 milioni
7.Morogoro-lita148m
8.Tanga-lita 135m
9.Iringa-lita 116m
10. Kagera-lita 100mView attachment 2257367