ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,568
- 44,779
Ilo jina TU NI sawa na singida kwetu tunaita SINGAPORE je kweli inataka kufanana na singay...wahuni tu waliamua kuitungia lete facts za kustahili kuitwa Geneva.....TU BASE KWENYE MAGHOROFA PEKEE MWANZA TOWN NA ARUSHA TOWN KUPI KUNA VIBERITI VYA KWENDA VYA MAANA?Arusha ni Geneva ya Africa, Mwanza ni Geneva ya Tanzania