ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Kila mtu Kila mtaani anajua Umri wa kustaafu Kwa mtumishi wa Umma ni miaka 60, Tena Kwa majeshi Huwa ni kidogo zaidi.
Napenda kujifunza , kifo Cha mwenyekiti wa CCM Arusha ambaye alishatumikia jeshi la polisi ngazi za uandamizi kimenofanya nijiulize mambo mawili matatu, wakati wa usomwaji wa historia ya Zelothe imeonesha kuwa mpaka akiwa na Miaka 66 alikuwa bado ni RPC.
Sijajua je hii ni kutokana na uhusiano wake wa karibu na CCM au Kuna lingine, Kwa maana pia vijana wake wapo kwenye system, wakurugenzi n.k
Hili jambo linafanana na Kiongozi mwandamizi wa TANESCO Kanda ya Kusini ndugu wa Majaliwa Kasim ambaye ameshafikisha Umri wa kustaafu miaka kadhaa nyuma lakini bado yupo ofisini , kwa kuwa ana god father PM.
Je utaratibu ni upo, hakuna mtu anaependa kustaafu na kuacha mshahara, tuambieni jinsi ya kijiongezea muda
Napenda kujifunza , kifo Cha mwenyekiti wa CCM Arusha ambaye alishatumikia jeshi la polisi ngazi za uandamizi kimenofanya nijiulize mambo mawili matatu, wakati wa usomwaji wa historia ya Zelothe imeonesha kuwa mpaka akiwa na Miaka 66 alikuwa bado ni RPC.
Sijajua je hii ni kutokana na uhusiano wake wa karibu na CCM au Kuna lingine, Kwa maana pia vijana wake wapo kwenye system, wakurugenzi n.k
Hili jambo linafanana na Kiongozi mwandamizi wa TANESCO Kanda ya Kusini ndugu wa Majaliwa Kasim ambaye ameshafikisha Umri wa kustaafu miaka kadhaa nyuma lakini bado yupo ofisini , kwa kuwa ana god father PM.
Je utaratibu ni upo, hakuna mtu anaependa kustaafu na kuacha mshahara, tuambieni jinsi ya kijiongezea muda