View attachment 3643554
Ali Msham wa kwanza kulia na anaefuatia ni baba yake mzazi Mzee Msham kisha Mwalimu
Nyerere Baba wa Taifa akipokea samani mpya kwa ajili ya ofisi yake New Street kwenye tawi la
TANU nyumbani kwa Ali Msham. Nyumba hii ipo hadi leo.
Hii ni 1955.
Mtaa wa Jaribu Magomeni Mapipa.