Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Natokana na Ukoo wa kina Muyinga hili la Mkwavinyika (MKWAWA) kuwa muislamu hakika si kweli kabisa. Baba yake Mkwawa, Mnyigumba ambaye kaburi lake liko pale Lungemba hakuwahi kuwa muislamu. Uislamu Kalenga makao makuu ya Mkwawa uliletwa na wanubi na Wamanyema ambao walikuja na Mjerumani kumpiga Mkwawa. Baada ya mkwawa Kujinyonga pale Kikongoma ndipo wajerumani wakaweka kikosi cha askari wao pale Kalenga ambao wengi wao walikuwa ni Wamanyema na wanubi na kwa upande wa dini walikuwa ni waislamu.

Kama FaizaFoxy anavyoshangaa wakristo kuwasaidia wajerumani kumpiga Kinjeketile ndivyo waslamu walivyowasaidia wajerumani kumpiga Mkwawa. Hawa tunaowaona kama "wakristo" au "waislamu" walikuja Afrika kwa maslahi yao na wala si maslahi ya waafrika. Kwa hili la Mkwawa kwamba alikuwa Muislamu husemi ukweli.

Kwenye ukoo wa kina Mkwawa wapo wakristo na waislamu na hii inatokana na ukweli wa migawanyiko kwenye ukoo wenyewe tngu mkwawa akiwa hai.

FaizaFoxy hashangai, anauliza uzalendo uko wapi? Wa kupoteza historia hata ya MajiMaji wacha na hii ya juzi ambao watu bado wako hai, na kwa hili tunamsifu sana Mohamed Said kwani na hii ilikuwa inafifirishwa watu wasiujuwe ukweli. Lakini leo tunajuwa ukweli uko wapi, kama nnavyosema mara zote, hakuna mmoja aliyetokeza kuupinga ukweli wa Mohamed Said kuhusu hawa wazee nnachokiona ni kurukia hiki au kile ukweli unabaki kuwa ukweli. Hata hilo la Mkwawa naona watu wanarukia huku wakirukia kule kwa sababu tu la Songea limekuwa bayana.

Kila tunavyoendelea ndio tunazidi kufunguwana macho. Hakika Mohamed Said unastahili kila sifa na tunakusihi endelea.

Tunataka mpaka iwe bayana uwenye "Heri" wa Nyerere kuelekea "Utakatifu" ni kwa kulitumikia Taifa au kwa kulitumikia Kanisa? Maana kwa upande wangu nimeona kaliacha Taifa hohehahe, hakuna fedha BOT na BOT yenyewe imechomwa moto. Hakuna mafuta ya kutumia kwenye magari, foleni vituo vya mafuta, Jumapili hakuna kuendesha hata gari bila kibali maalum. Hakuna chakula, hakuna hata dawa za meno. Ashaakum si matusi, hata vistiri hali vya kike vilikuwa hakuna madukani. Sidhani kama hivyo ni vigezo vya "heri" na "utakatifu". Tuujuwe ukweli. Na kama ni kwa kulitumikia Kanisa, tuelezwe kwa kiasi kipi? Na kwa mali zipi? Na kwa maslahi ya kina nani? Kila tunapoendelea tutapata mengi ya kuuliza.
 
FaizaFoxy hashangai, anauliza uzalendo uko wapi? Wa kupoteza historia hata ya MajiMaji wacha na hii ya juzi ambao watu bado wako hai, na kwa hili tunamsifu sana Mohamed Said kwani na hii ilikuwa inafifirishwa watu wasiujuwe ukweli. Lakini leo tunajuwa ukweli uko wapi, kama nnavyosema mara zote, hakuna mmoja aliyetokeza kuupinga ukweli wa Mohamed Said kuhusu hawa wazee nnachokiona ni kurukia hiki au kile ukweli unabaki kuwa ukweli. Hata hilo la Mkwawa naona watu wanarukia huku wakirukia kule kwa sababu tu la Songea limekuwa bayana.

Kila tunavyoendelea ndio tunazidi kufunguwana macho. Hakika Mohamed Said unastahili kila sifa na tunakusihi endelea.

Tunataka mpaka iwe bayana uwenye "Heri" wa Nyerere kuelekea "Utakatifu" ni kwa kulitumikia Taifa au kwa kulitumikia Kanisa? Maana kwa upande wangu nimeona kaliacha Taifa hohehahe, hakuna fedha BOT na BOT yenyewe imechomwa moto. Hakuna mafuta ya kutumia kwenye magari, foleni vituo vya mafuta, Jumapili hakuna kuendesha hata gari bila kibali maalum. Hakuna chakula, hakuna hata dawa za meno. Ashaakum si matusi, hata vistiri hali vya kike vilikuwa hakuna madukani. Sidhani kama hivyo ni vigezo vya "heri" na "utakatifu". Tuujuwe ukweli. Na kama ni kwa kulitumikia Kanisa, tuelezwe kwa kiasi kipi? Na kwa mali zipi? Na kwa maslahi ya kina nani? Kila tunapoendelea tutapata mengi ya kuuliza.

FF,

Ahsante sana kwa kipande hiki.

Namwambia Kigarama aende kwa Abdu Adam Sapi Mkwawa akakaenae chemba na amuombe amounyeshe zile barua alizokuwa akiandika Mkwawa kwa irabu za Kiarabu na amueleze uhusiano wake na Muarabu Rumaliza.

Akishafanya hivyo na arudi kwenye jamvi tuendelee. Asisahau kuuliza na majina ya wale nduguze Mtwa.

Nampa nyingine Kigarama.

Aongeze katika kumbukumbu zake kuwa katika lile jeshi la Wajerumani waliokuja kupigana na Mkwawa allkuwepo askari wa Kizulu kutoka Kwalikunyi Mozambique jina lake Sykes Mbuwane na (alikuja na nduguye anaitwa Ally Kattini), babu yake na Abdulwahid Sykes. Sasa hapa ndipo nilipochoka mimi katika Nyaraka za Sykes, habari za huyu askari zimo mle.

Huyu Ally Sykes wa leo jina lake ni la babu yake mdogo, Ally Kattini.

Sasa huyu bwana nampa zawadi ndogo amfikishie sahib wangu wa miaka mingi Abdu Mkwawa:
"Mwaka 1954 fuvu la Mkwawa liliporudishwa Kalenga AdamSapi Mkwawa mjukuu wa Mtwa Mkwawa aliwaalika Abdulwahid Sykes mjukuu wa SykesMbuwane, adui wa babu yake na Dossa Aziz kuja katika sherehe ya kupokea fuvulile. Ilikuwa pale Kalenga ndipo Abdulwahid alipomuingiza Adam Sapi katika TANUkwa siri na kumfanya awe mmoja wa machifu wa mwanzo kabisa kuiunga mkono TANU.Wakati Chifu Adam Sapi anajiunga na TANU chama kilikuwa hakijamaliza hata mwezimoja katika uhai wake."

Mohamed
 
FF,

Ndiyo maana ukitaja Uislam na harakti za kupigania uhuru wa Tanganyika hawapendi kwa sababu historia hii inawaweka katika kundi la wale waliosimama kuupa nguvu ukoloni.

Sasa tuwaulize akina Nguruvi, Mwanakijiji, Jasusi, Wild Card na mfano wa hao kwa nini wazee wenu walikuwa upande wa wakoloni?

Mohamed
Samahani mkuu labda ninaweza nikawa nimerudi nyuma sana... hivi historia yetu ya kupinga ukoloni inaanzia wapi? Nilikuwa najiuliza hivi mababu zetu walianza kuupinga ukoloni tangu enzi zile za wakoloni wa kiarabu au?
 

FF,

Ahsante sana kwa kipande hiki.

Namwambia Kigarama aende kwa Abdu Adam Sapi Mkwawa akakaenae chemba na amuombe amounyeshe zile barua alizokuwa akiandika Mkwawa kwa irabu za Kiarabu na amueleze uhusiano wake na Muarabu Rumaliza.

Akishafanya hivyo na arudi kwenye jamvi tuendelee. Asisahau kuuliza na majina ya wale nduguze Mtwa.

Nampa nyingine Kigarama.

Aongeze katika kumbukumbu zake kuwa katika lile jeshi la Wajerumani waliokuja kupigana na Mkwawa allkuwepo askari wa Kizulu kutoka Kwalikunyi Mozambique jina lake Sykes Mbuwane na (alikuja na nduguye anaitwa Ally Kattini), babu yake na Abdulwahid Sykes. Sasa hapa ndipo nilipochoka mimi katika Nyaraka za Sykes, habari za huyu askari zimo mle.

Huyu Ally Sykes wa leo jina lake ni la babu yake mdogo, Ally Kattini.

Sasa huyu bwana nampa zawadi ndogo amfikishie sahib wangu wa miaka mingi Abdu Mkwawa:
"Mwaka 1954 fuvu la Mkwawa liliporudishwa Kalenga AdamSapi Mkwawa mjukuu wa Mtwa Mkwawa aliwaalika Abdulwahid Sykes mjukuu wa SykesMbuwane, adui wa babu yake na Dossa Aziz kuja katika sherehe ya kupokea fuvulile. Ilikuwa pale Kalenga ndipo Abdulwahid alipomuingiza Adam Sapi katika TANUkwa siri na kumfanya awe mmoja wa machifu wa mwanzo kabisa kuiunga mkono TANU.Wakati Chifu Adam Sapi anajiunga na TANU chama kilikuwa hakijamaliza hata mwezimoja katika uhai wake."

Mohamed

Mkuu MS
Asantee kwa hili!wewe ni Mtaalum haswa wa haya maswala.
Nilimuuliza mchangiaje mmoja hapa kwa "anawajuwa hawa watu kweli au ?",Ona sasa "NONDO hii ni kubwa kuliko yeye".Kwa wachangiaje wengine "tuache dhana"
 
Najijua? Swali gani hilo!! wewe hata matambiko ya kina Muyinga unayajua?? Mziro wao unaujua?

Mkuu, wewe kuwa kwako Mhehe au kujua matambiko akukufanyi kuwajua wakina mkwawa
Chukulia mfano mimi,kuwa kwangu Muisilam hakunifanyi kumjua Muhamed Said na ndugu zake zaidi ya yale atakayo taka tuyafahamu mwenyewe"
 
Bukyagandi,

Kwani hufahamu fearmongering is a technic to stop someone from searching the truth??? Walianza na siasa kali kipindi cha mwinyi, wakahamia mujahidina kipindi cha mkapa, siku hizi wadini ijapokuwa haina nguvu sana kwasababu wao wenyewe wamejigundua ndio wadini number 1. Mwishoe wanaishia kutishana (fear mongering). Hii ni hatua ya mwisho kwani kinachofuatia baada ya hapo ni kushindwa kwa hoja. Vumulia mkuu kama una nondo shusha. Ndio maana Mohamed Said amewaomba kama kuna wazee wao wanahisi wamesahauliwa waandike basi historia yao tuisome tuifahamu vyenginevyo wakae kimya tu wamwache mzee wetu atembee kwenye bahari ya historia.

Nakwambia huko Ulaya na Merikani nilikuwa naona wanawaita kila jina baya under the SUN utawasikia wana wa-address kama "Fanatics, zealot, Fundamentalist, mujaheedin, kamikaze" and what have YOU! hajabu sana.
 
Ukisikia vita vya MajiMaji na ukisikia Wakristo walikuwa wakipigana upande wa Wageni hapo ndio utaanza kupata picha ya MfumoKristo ukoje. Upo tayari kuwakandamiza na kuwagawa wananchi kwa jina la ukristo. Uzalendo uko wapi?

Naam naam. Na ukisikia waislamu akina sykes mbuwane wanashirikiana na wakristo (wajerumani) kumshambulia muislamu mwenzao (mkwawa) huo sasa sijui tuuite ni mfumo gani!?

Ahsante sana sheikh mohamed kwa madai yako kwamba mkwawa alikuwa muislamu kwani hoja ya wakristo kushirikiana na wakoloni kuwadhulumu waislamu sasa imejimaliza yenyewe. Kwani ni dhahiri kwamba waislamu nao walitumika kuwadhulumu waislamu wenzao.
 
&t
Nakwambia huko Ulaya na Merikani nilikuwa naona wanawaita kila jina baya under the SUN utawasikia wana wa-address kama "Fanatics, zealot, Fundamentalist, mujaheedin, kamikaze; and what have YOU! hajabu sana.

Kuna mtu tumempa jukumu la kuangalia matumizi ya sarufi hapa lakini naona kakunyamazia, sijui kwakuwa uko upande ule!?

Mkuu kuna maeneo unachomeka ''h'' pasipohusika. Mathalani badala ya ''ajabu'' wewe unaandika ''hajabu''! Ukijitazama vizuri utaona hayo makosa madogo madogo ambayo yanapoteza ladha ya mtazamo wako. Tuendelee na mnakasha!
 
Mkuu, wewe kuwa kwako Mhehe au kujua matambiko akukufanyi kuwajua wakina mkwawa
Chukulia mfano mimi,kuwa kwangu Muisilam hakunifanyi kumjua Muhamed Said na ndugu zake zaidi ya yale atakayo taka tuyafahamu mwenyewe"

Mkuu kutokufahamu kwako mambo ya mohamed saidi haiwezi kuwa sifa linganishi ya kigarama kuwa mhehe na kutojua mambo yao i.e matambiko yao.

Yani udhaifu wako unadhani na kigarama naye ni vivyo hivyo?
 
&t

Kuna mtu tumempa jukumu la kuangalia matumizi ya sarufi hapa lakini naona kakunyamazia, sijui kwakuwa uko upande ule!?

Mkuu kuna maeneo unachomeka ''h'' pasipohusika. Mathalani badala ya ''ajabu'' wewe unaandika ''hajabu''! Ukijitazama vizuri utaona hayo makosa madogo madogo ambayo yanapoteza ladha ya mtazamo wako. Tuendelee na mnakasha!

Najijuwa sana kuhusu tatizo hilo, lakini naona watu wengi wananielewa tu - hatuko hapa kufundishana kiswahili tuko hapa kusaidiana kujuwa historia ya kweli ya nchi yetu, husijaribu kupoteza lengo kwa mambo madogo madogo wakati watu wanazungumzia vitu serious, kiswahili kama ilivyo kingereza maneno mengi ni redundant, ubongo wa binadamu una uwezo mkubwa wa kujaziliza au kuondoa yale ambayo yamekaa vibaya, reading between the lines najuwa unacho dhamilia mwishowe utasema mbona unachanganya r na l - haya ni mambo madogo sana husijaribu kupoteza lengo.
 
Mkuu kutokufahamu kwako mambo ya mohamed saidi haiwezi kuwa sifa linganishi ya kigarama kuwa mhehe na kutojua mambo yao i.e matambiko yao.

Yani udhaifu wako unadhani na kigarama naye ni vivyo hivyo?

MM,
That very cheap urguement.
Sina la kuongezea katika hilo ila jitazame na wewe utaona mapungufu yako hata katika kufikiri.
 
Mohamed, kwa anayefuatilia huu mjadala bila shaka amekugundua unachagua 'carefully' threads za kujibu.

Ueleze kwa uwazi mfumo wa kikristu ulioshika hatamu Tanzania yetu ya sasa.... Eleza ni kwa namna gani watu wamenyimwa fursa kwa sababu ya uislamu wao... Eleza ni kina nani...
Vile vile eleza waliopewa fursa kwa sababu ya ukristu wao... wataje ni kina nani...

Kama unashindwa kusema hayo, utaelezea kwa namna gani udini upo hapa Tanzania????

Mimi nafikiri labda ungebadili mtazamo wa mjadala uwe 'marekebisho kwa vitabu vya historia vya kiada'. Kama hakuna majibu ya kuridhisha ya hayo maswali hapo juu, HAKUNA UDINI TANZANIA. Sisi sote ni wamoja, tunaishi pamoja, tunazungumza pamoja, tunasoma vyuoni pamoja hata kama yupo aliyetaka tubaguane hapo mwanzo HAKUFANIKIWA kwa hali iliyopo sasa.

BASICALLY, MADA YAKO ITAFUFUA HUO UDINI. Na sichelei kusema, ninahisi unautamani!!

Unataka NINI??? Tubadili historia? Ama tulipize kisasi kwa yaliyotokea kwenye historia na wao wawe na historia ya kukandamizwa?
NICE STORY, IT CAN BE TRUE. BUT THEN WHAT???????????
 
Naam naam. Na ukisikia waislamu akina sykes mbuwane wanashirikiana na wakristo (wajerumani) kumshambulia muislamu mwenzao (mkwawa) huo sasa sijui tuuite ni mfumo gani!?

Ahsante sana sheikh mohamed kwa madai yako kwamba mkwawa alikuwa muislamu kwani hoja ya wakristo kushirikiana na wakoloni kuwadhulumu waislamu sasa imejimaliza yenyewe. Kwani ni dhahiri kwamba waislamu nao walitumika kuwadhulumu waislamu wenzao.

Hapo sasa udini unaanza kuleta mkanganyiko. Askari watwana wa wajerumani ambao pia wana wao walipewa majina ya kijerumani walikuwa upande gani? Na wazulu na wanubi ndo watanganyika zaidi..historia inaleta viroja.
 

FF,

Ahsante sana kwa kipande hiki.

Namwambia Kigarama aende kwa Abdu Adam Sapi Mkwawa akakaenae chemba na amuombe amounyeshe zile barua alizokuwa akiandika Mkwawa kwa irabu za Kiarabu na amueleze uhusiano wake na Muarabu Rumaliza.

Akishafanya hivyo na arudi kwenye jamvi tuendelee. Asisahau kuuliza na majina ya wale nduguze Mtwa.

Nampa nyingine Kigarama.

Aongeze katika kumbukumbu zake kuwa katika lile jeshi la Wajerumani waliokuja kupigana na Mkwawa allkuwepo askari wa Kizulu kutoka Kwalikunyi Mozambique jina lake Sykes Mbuwane na (alikuja na nduguye anaitwa Ally Kattini), babu yake na Abdulwahid Sykes. Sasa hapa ndipo nilipochoka mimi katika Nyaraka za Sykes, habari za huyu askari zimo mle.

Huyu Ally Sykes wa leo jina lake ni la babu yake mdogo, Ally Kattini.

Sasa huyu bwana nampa zawadi ndogo amfikishie sahib wangu wa miaka mingi Abdu Mkwawa:
"Mwaka 1954 fuvu la Mkwawa liliporudishwa Kalenga AdamSapi Mkwawa mjukuu wa Mtwa Mkwawa aliwaalika Abdulwahid Sykes mjukuu wa SykesMbuwane, adui wa babu yake na Dossa Aziz kuja katika sherehe ya kupokea fuvulile. Ilikuwa pale Kalenga ndipo Abdulwahid alipomuingiza Adam Sapi katika TANUkwa siri na kumfanya awe mmoja wa machifu wa mwanzo kabisa kuiunga mkono TANU.Wakati Chifu Adam Sapi anajiunga na TANU chama kilikuwa hakijamaliza hata mwezimoja katika uhai wake."

Mohamed
mkuu unaweza kunipa links za vitabu mbali mbali unavyo vinukuu hapa.
nimepata darasa zuri sana, nahitaji muda kuvipitia
 
Mohamed, kwa anayefuatilia huu mjadala bila shaka amekugundua unachagua 'carefully' threads za kujibu.

Ueleze kwa uwazi mfumo wa kikristu ulioshika hatamu Tanzania yetu ya sasa.... Eleza ni kwa namna gani watu wamenyimwa fursa kwa sababu ya uislamu wao... Eleza ni kina nani...
Vile vile eleza waliopewa fursa kwa sababu ya ukristu wao... wataje ni kina nani...

Kama unashindwa kusema hayo, utaelezea kwa namna gani udini upo hapa Tanzania????

Mimi nafikiri labda ungebadili mtazamo wa mjadala uwe 'marekebisho kwa vitabu vya historia vya kiada'. Kama hakuna majibu ya kuridhisha ya hayo maswali hapo juu, HAKUNA UDINI TANZANIA. Sisi sote ni wamoja, tunaishi pamoja, tunazungumza pamoja, tunasoma vyuoni pamoja hata kama yupo aliyetaka tubaguane hapo mwanzo HAKUFANIKIWA kwa hali iliyopo sasa.

BASICALLY, MADA YAKO ITAFUFUA HUO UDINI. Na sichelei kusema, ninahisi unautamani!!

Unataka NINI??? Tubadili historia? Ama tulipize kisasi kwa yaliyotokea kwenye historia na wao wawe na historia ya kukandamizwa?
NICE STORY, IT CAN BE TRUE. BUT THEN WHAT???????????
Mimi nilimuuliza kama ana takwimu za sasa kuhusu upendeleo wa elimu lakini akasema itakuwa kazi ngumu. Sasa kazi ngumu kivipi wakati tayari mtu anasema kuna upendeleo. Tupo 2011 mtu anatumia takwimu za mwaka 1999. Mimi bado namsubiri athibitishe hiki kitu!
 
Hapo sasa udini unaanza kuleta mkanganyiko. Askari watwana wa wajerumani ambao pia wana wao walipewa majina ya kijerumani walikuwa upande gani? Na wazulu na wanubi ndo watanganyika zaidi..historia inaleta viroja.

M,

Huo ndiyo ukweli wala hakuna wa kupinga.

Wazulu, Wamanyema na Wanubi baba za Kleist Sykes, Ibrahim Hamis na Mzee bin Sudi ambao ndiyo walikuja kuasisi African Association walikuwa askari wa kikoloni ambao waliletwa Tanganyika na Herman Von Wissman kuja kupigana na Bushir bin Salim na Mkwawa.

Haya nimeyaeleza katika kitabu changu wala sikuwapamba huu ni ukweli wa kihistoria ambao upo.

(Babu yangu mkuu Samitungo Muyukwa Mwekapopo yeye alitokea Belgian Congo na alikuwa kwenye boma Shirati ambako babu yangu alipozaliwa).

Huyu babu yangu kama wenzake walileta mapinduzi ya siasa katika Tanganyika.Yeye alikuwa katika kamati ya ndani AA Tabora habari zake nishazieleza humu na vipi aliwekwa kizuizini na Nyerere 1964 kwa shutuma ya kupanga njama za kupindua serikali mwaka 1964.

Kama ulivyosema "historia inaleta viroja" watoto wa hawa wa mamluki kutoka nje ya mipaka ya Tanganyika ndiyo wakapanda mbegu ya utaifa wa Tanganyika. Huwezi leo ukaandika historia ya Tanganyika usimtaje Kleist Sykes, Ibrahim Hamis, Mzee bin Sudi, watoto wa Affande Plantan, Thomas, Schneider na Mashado.

Licha ya hayo Kleist, Mzee bin Sudi na Schneider wakajenga na msingi wa umoja wa Waislam wa Tanganyika Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika ambao ndiyo uliokuja kuasisi TAA na kuunda TANU 1954.

Katika kitabu cha Judith Listowel, "The Making of Tanganyika" kuna kipande kizuri sana kinachoeleza vurugu alofanya Schneider Pltann Ukumbi wa Arnoutoglo mwaka wa 1950 mbele ya ofisa Mzungu akidai lazima TAA iiitishe mkutano wachague viongozi wapya. Vurugu hili ndilo lililomtia Dr Vedsto Kyaruzi na Abdulwahid Sykes katika uongozi wa TAA.

Mashado Plantan ndiyo mtu wa kwanza kumjenga Nyerere katika gazeti lake Zuhra na hili ndilo lilikuwa mdomo wa TANU chama kilipoasisiwa mwaka 1954. Nitamaliza kwa kueleza kuwa si kama hawa "wageni" kwa ukweli wakiitwa "watu wa kuja" walipata mteremko, la hasha walipata upinzani mkubwa kuwa kile wenyeji walichoona "kimbelembele" chao.

Katika kitabu cha Abdu Sykes nimeeleza misuguano hii kwa undani zaidi.

Mohamed
 
Mimi nilimuuliza kama ana takwimu za sasa kuhusu upendeleo wa elimu lakini akasema itakuwa kazi ngumu. Sasa kazi ngumu kivipi wakati tayari mtu anasema kuna upendeleo. Tupo 2011 mtu anatumia takwimu za mwaka 1999. Mimi bado namsubiri athibitishe hiki kitu!

Actually, kama asipoleta ushahidi ulio wazi na unaoeleweka (wa kitakwimu) hastahili kusikilizwa. Mimi niliwahi msikiliza personally, nia yake ni kupanda chuki baina ya wananchi kila mtu amwangalie mwenzake kwa msingi wa dini.
Kwa kipindi kirefu watanzania hatujawa hivyo, ila kwa kadiri watu wa design ya Mohamed wanaongezeka tunakaribia hatari ambayo imekwisha athiri baadhi ya mataifa ya waafrika wenzetu.

UDINI UKO WAPI HII TANZANIA YA 2011?? NANI NA NANI WAMEPEWA/WAMENYIMWA NAFASI KWA SABABU YA DINI ZAO???

Kila mwananchi asomeshe mtoto wake, amfundishe kujiamini kisha tuone kama dini itamnyima nafasi.
 

FF,

Ahsante sana kwa kipande hiki.

Namwambia Kigarama aende kwa Abdu Adam Sapi Mkwawa akakaenae chemba na amuombe amounyeshe zile barua alizokuwa akiandika Mkwawa kwa irabu za Kiarabu na amueleze uhusiano wake na Muarabu Rumaliza.

Akishafanya hivyo na arudi kwenye jamvi tuendelee. Asisahau kuuliza na majina ya wale nduguze Mtwa.

Nampa nyingine Kigarama.

Aongeze katika kumbukumbu zake kuwa katika lile jeshi la Wajerumani waliokuja kupigana na Mkwawa allkuwepo askari wa Kizulu kutoka Kwalikunyi Mozambique jina lake Sykes Mbuwane na (alikuja na nduguye anaitwa Ally Kattini), babu yake na Abdulwahid Sykes. Sasa hapa ndipo nilipochoka mimi katika Nyaraka za Sykes, habari za huyu askari zimo mle.

Huyu Ally Sykes wa leo jina lake ni la babu yake mdogo, Ally Kattini.

Sasa huyu bwana nampa zawadi ndogo amfikishie sahib wangu wa miaka mingi Abdu Mkwawa:
"Mwaka 1954 fuvu la Mkwawa liliporudishwa Kalenga AdamSapi Mkwawa mjukuu wa Mtwa Mkwawa aliwaalika Abdulwahid Sykes mjukuu wa SykesMbuwane, adui wa babu yake na Dossa Aziz kuja katika sherehe ya kupokea fuvulile. Ilikuwa pale Kalenga ndipo Abdulwahid alipomuingiza Adam Sapi katika TANUkwa siri na kumfanya awe mmoja wa machifu wa mwanzo kabisa kuiunga mkono TANU.Wakati Chifu Adam Sapi anajiunga na TANU chama kilikuwa hakijamaliza hata mwezimoja katika uhai wake."

Mohamed


Hapa umemaliza bwana Mohamed ndugu yetu Kigarama but ila hujakidhi kiu kwasababu kumfahamu Mwarabu Rumaliza hakumaanishi kuwa Mkwawa ni muislamu. Vile vile kuweza kusoma maandishi ya kiirabu pia hakumaanishi kuwa ni mwislamu. Pengine sheikh mohamed nikuulize Mkwawa kuna watu wanajua alikuwa muislamu? Je kuna walimshuhudia kutoa shahada? Walisali nae msikitini na walimzika kiislamu. Hebu tupambanulie zaidi sheikh.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom