Historia ya ndoa yangu

pooole mie mume wangu ananuna hd anataka kupasuka mm namtazama ila am exosted nataka kuchukua maamuzi magumu kila mtu achukue 50 zake
 
mi siamini kama wewe miss neddy ni msichana lazima utakuwa ni mmama mtu mzima wa busara yaani umetoa ushauri wa busara sana ningejua uko wapi ningemleta mke wangu umpe ushauri maana na yeye ni mamaa kununa

hahaha ahsante mi bado mbichii najikongoja kwenye hii sekta ila nadhani hata huko uliko wazee wenye hekima hawakosekani mpeleke akapate semina upyaa jinsi ya kulea Ndoa nadhani kajisahau tu
 
Hata Mie huwa nanuna akiniudhi! Sema yeye anabembeleza hadi utamsamehe!
 

Wanawake wote wanatakiwa kuwa hivi.....
 
Asante sana
Haustahili pole yangu, hautambui kuishi na mume, na kwa haraka haraka nimeshakusoma wewe ni mkorofi. Haiwezekani umnunie mume na utake aombe msamaha kwa umbea uliosikia kwenye saloon zenu. Umekuwa kero kwake ndo maana kakukimbia. Wanawake wengi ni wapuuxi sana na wewe ni mmoja wao.
 
hahaha ahsante mi bado mbichii najikongoja kwenye hii sekta ila nadhani hata huko uliko wazee wenye hekima hawakosekani mpeleke akapate semina upyaa jinsi ya kulea Ndoa nadhani kajisahau tu

uko vizuri mama
 
Bila Mungu hayo unayosema HAYAWEZEKANI.Hata ukikesha unajishusha sana sana utaonekana mjinga fulani.Mwanadamu siku zote hanaga shukrani.Jema kwake baya na baya ndo linafuta mema yote.
 
umenchekesha sana
tena huyo anao wa baba mmoja anaolewa kabisas

Si ndio hapo, kama huyo wa watoto sita aliolewa sembuse huyu wa watoto wawili. Tena kuna wifi yangu mmoja naye anaolewa soon ana watoto wawili. Mumewe alifariki!
 
duh!!! wanawake tuna tabu!!!!! jehanam tunaianzia hapahapa duniani. any way kesha ukiomba hakuna liclowezekana kwa mungu. papuch funga na kufulhata akijirud ucmpe mpaka mpime. jipe moyo mungu ana makusudi yake.
 
Labda nimechelewa kiushauri lakini umechangia kuharibu ndoa yako. Kununa ni drama za kitoto, ingebidi umwambie ukweli kuwa anatakiwa akiri makosa yake .....

communication communication ni kitu muhimu sana yaambasad
 
Labda nimechelewa kiushauri lakini umechangia kuharibu ndoa yako. Kununa ni drama za kitoto, ingebidi umwambie ukweli kuwa anatakiwa akiri makosa yake .....

communication communication ni kitu muhimu sana yaambasad

Asante kwa ushauri wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…