Historia ya Mzee Kipusa

Kukwambia umechanganyikiwa ni msaada tosha
Kuchanganikiwa ni nini Ndugu? Nieleweshe tafadhali,...na nifanyeje Ili nitoke katika hali hii, maana inanitesa sana sana.
 
Zingatia pia tunayokushauri boss issue ya kujiua nimekwambia huko juu achana nayo
 
Zingatia pia tunayokushauri boss issue ya kujiua nimekwambia huko juu achana nayo
Sawa Ndugu. Lakini ukweli ndio huo. Labda utokee muujiza.

Kama kweli Mungu ananiona....na anajua nimekuja kufanya nini hapa duniani...nitaendelea kuwepo. But ...kama hanioni...asee...I can't handle any more this situation.

Note: Na akinitoa katika maisha haya , nikawa na maisha mazuri...nitamtangaza sana sana KILA niendapo na nikanyagapo. Otherwise this life is meaningless..chasing after the winds....vanity upon vanity...
 
Mmh..[emoji848][emoji2827]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeusoma uzi.
 

Pole sana
Una familia?mke watoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…