Historia ya kweli ya Tanzania

Historia ya kweli ya Tanzania

Nitapata wapi kitabu cha ukweli na chenye historia ya ukweli ya Tanzania na sii historia ya uongo na kinafiki ? Kuhusu Tanzania kabla na baada ya uhuru,ikijumuisha viongozi wake mafanikio yao na maendeleo ya Taifa kiujumla?nipo tayari kukinunua kwa bei yoyote.

kaka ningekuomba ujitolee muhanga kusoma vitabu mbalimbali kwa kuwa kila mwandishi anavutia upande wake,hivyo ni bora kuondoa biase kama unazo (be free will) kusoma kwa kina vitabu mbalimbali kama cha mohammedi sadi,na kile cha kwaheri ukoloni kwaher uhuru pia pale library ya UDSM pia vipo vinginevyo hop utapata jibu sahihi,kazi njema
 
Mbona wewe unatoa vitabu vya mwelekeo wa Waislamu peke yao? Mbona hujataja kitabu cha John Illife na Judith Listowell?

Soma vizuri post yangu nimemwambia "Anzia kwa kufata link hizo chini, humo utapata reference nyingi sana"

Kumbuka, kuwa hizo reference unazozitaja wewe zote zimo kwenye hizo nyuzi za Mohamed Said na zaidi. Sidhani kama umesahau hayo.
 
Kitabu cha Mohamed Said na kile cha kwa heri ukoloni, kwa heri uhuru vitakupa msingi mzuri kuijua Tanzania yako vizuri,

Vitabu hivi vimeeleza mambo mengi na watu wengi ambao sio rahisi kuyasikia/kuwasikia kwenyae vitabu vingine.
 
Nitapata wapi kitabu cha ukweli na chenye historia ya ukweli ya Tanzania na sii historia ya uongo na kinafiki ? Kuhusu Tanzania kabla na baada ya uhuru,ikijumuisha viongozi wake mafanikio yao na maendeleo ya Taifa kiujumla?nipo tayari kukinunua kwa bei yoyote.
Ombi zuri ingekuwa vitabu au maandiko ya historia ya Tanzania. ku qualify ya ukweli au uongo hilo hakuna anayeweza kukujibu bali wewe kama mtafiti utachambua au utafanya utafiti wako na if you can, kuandika au kufadhili uandikaji wa kitabu cha masuala ya historia ya TZ na qualifications unazotaka. Kutegemeana na lengo na walengwa, hata format utasimamia wewe. maendeleo, viongozi n.k. maandishi hayo yamejaa nenda kwenye ma library utakuta ingawa kutofautiana kutakuwepo kati ya waandishi kutegemeana na agenda and context.
 
Back
Top Bottom