King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,685
- 68,671
DJ Emperor - Africa Hotel Six Floor.
Naona ziko jumla 105%Umesema walianzisha na mbia mwenzie ruge ila kwenye hisa mbona hayupo??
Sasa ubia gqni unaouzungumzia wewe?
Sema alikuwa muajiriwa tuu
Fafanua zaidi.Janja janja tu huyo mla asali ya maskini enzi hizo (wasanii)..
Washukuriwe wasafi media kuwaumbua hatimaye wasanii wameanza kula jasho lao
yes, very goodKumbe ni station ya familia??????!!!!
Moses Simba ,mhitimu wa Al haramain enzi hizo!Namkumbuka Black Moses, alipanda chati na akaporomoka mwaka 1998 alikuwa singida kwa mama ntilie pakiitwa mrumbani akicheza tunampa bia na kumnunulia ugali nyama choma! Maisha yasikie tuu.