Historia ya Joseph Kusaga

Historia ya Joseph Kusaga

Clouds = Mawingu. Ilikuwepo mwanzoni mwa miaka ya 1990 wkati niko Arusha. Walikuwa wanapiga hapo disco lao hapo mjini kati karibu na mnara wa saa.

Ni kweli mitaa ya Goliondoi hapo. Wakiwa na Mr C.

Jo kakuta clouds imeshaanzishwa. Yeye kaiendeleza tu akishirikiana na Ruge.
 
Hemu tuleteeni historia inayoendana na uharisia wa kijana bana yaani unaandika tu

“eti alipendezwa na muziki akaamua kufungua TV yake na mbia mwenzie”

HOW inamaana kijana wowote leo akipendezwa afunguo kiwanda cha maji Safi anafungua tu kwasababu alipendezwa, tunataka kujua MTAJI aliupata wapi, aliupataje ??
Mambo mengine ni siri za kambi
 
Dah nimewakumbuka watayarishaji wa matamasha Enzi hizo kim&the Boyz Hawa walikuwa wanaanda matamasha kabla hata ya mawingu/clouds
Watoto wadogo hamuwezi kuelewa

Ova
Kim&Boyz ndiyo ilikuwa ya Magomelo?...
Enz za kina Digadiga,Black Moses ,Saba Jackson....
 
Clouds = Mawingu. Ilikuwepo mwanzoni mwa miaka ya 1990 wakati niko Arusha. Walikuwa wanapiga disco lao hapo mjini kati karibu na mnara wa saa.
Umenikumbusha mtu mmoja alikuwa anaitwa Athuman njahidi sijui yuko wapi
 
Joseph M. Kusaga

Joseph Kusaga ni mwanzilishi wa CLOUDS Entertainment Limited, alizaliwa na kulelewa Musoma, mji uliopo kwenye ufukwe wa Ziwa Victoria. Alihamia Dar es salaam akiwa na umri wa miaka 5 baada ya baba yake aliyekuwa mtumishi wa serikali kuhamishiwa kwenye jiji la biashara. Yeye ni mtoto wa nne kwenye familia ya watoto tisa, wavulana watano na wasichana wane.

Kusaga alikuwa na shauku ya muziki tangu umri mdogo sana. Alianza kuandaa matamasha tangu alipokuwa chuoni akisomea Electronics. Ingawa Baba na Mama yake hawakuwa na matumaini makubwa katika kuandaa matamasha, walimwamini na kuwa na uhakika nae, na hatimaye, kwa msaada wa wazazi, na baada ya kipindi kifupi alikuwa DJ maarufu na mtayarishaji matamasha.

Alipata wazo la kuanzisha kampuni ya vyombo vya habari wakati wa ziara yake nchini Marekani alipoishi New York City na Los Angeles na kuvutiwa na hali ya muziki wa sehemu hiyo. Alipokuwa Los Angeles aliungana na mbia mwenzake wa biashara wa muda mrefu Ruge Mutahaba na kuanzisha mpango wa kufungua kituo cha redio nchini Tanzania ambacho kitajulikana kuwa ni CLOUDS FM.

CLOUDS-ambacho ni kifupisho cha Cool, Lovable, Outrageus, Unique, Dynamic, Sound ilianzishwa mwaka 1998 nakukua na kuwa miongoni mwa vyombo vya habari maarufu sana nchini Tanzania. Hivi sasa Clouds Entertainment Limited inajumuisha Clouds FM, PrimeTime Promotions, Choice FM, Coconut Radia Station, Clouds TV, Ngoma Web Tv na Kitangoma Magazine.

Upo wasifu wa Clouds Television katika Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) ambapo Alex Mkama Kusaga ana (25%) ya hisa, kama alivyo Joseph Kusaga. Clouds Entertainment Limited ina 50% ya hisa. Wamiliki wa sasa wa hisa za Clouds Entertainment ni Joseph Kusaga 50%, Judith Violet kusaga 10%, Sheba Martha Kusaga (10%) Dogan Andrew Kusaga (10%), Joyce Alex Kusaga(10%), Alex Justine Kusaga (5%) na Prisca Mkama Kusaga (10%) .
Am stand to be corrected

Kilichoitwa Mawingu Radio hakihusiani na clouds?

Aidha historia yako iko very shallow aisee kwa ukubwa wa clouds na Joseph na Ruge hazikupaswa kuwapo paragraphs chache kiasi hiki.



Sent from my itel W5001P using JamiiForums mobile app
 
Njaidi baadae walikwenda naye Dar wakati Clouds FM inaanzishwa. Akawa mtangazaji. Baadaye alikwenda USA. Sijui kwa sasa yuko wapi.
Umenikumbusha mtu mmoja alikuwa anaitwa Athuman njahidi sijui yuko wapi
 
Joseph M. Kusaga

Joseph Kusaga ni mwanzilishi wa CLOUDS Entertainment Limited, alizaliwa na kulelewa Musoma, mji uliopo kwenye ufukwe wa Ziwa Victoria. Alihamia Dar es salaam akiwa na umri wa miaka 5 baada ya baba yake aliyekuwa mtumishi wa serikali kuhamishiwa kwenye jiji la biashara. Yeye ni mtoto wa nne kwenye familia ya watoto tisa, wavulana watano na wasichana wane.

Kusaga alikuwa na shauku ya muziki tangu umri mdogo sana. Alianza kuandaa matamasha tangu alipokuwa chuoni akisomea Electronics. Ingawa Baba na Mama yake hawakuwa na matumaini makubwa katika kuandaa matamasha, walimwamini na kuwa na uhakika nae, na hatimaye, kwa msaada wa wazazi, na baada ya kipindi kifupi alikuwa DJ maarufu na mtayarishaji matamasha.

Alipata wazo la kuanzisha kampuni ya vyombo vya habari wakati wa ziara yake nchini Marekani alipoishi New York City na Los Angeles na kuvutiwa na hali ya muziki wa sehemu hiyo. Alipokuwa Los Angeles aliungana na mbia mwenzake wa biashara wa muda mrefu Ruge Mutahaba na kuanzisha mpango wa kufungua kituo cha redio nchini Tanzania ambacho kitajulikana kuwa ni CLOUDS FM.

CLOUDS-ambacho ni kifupisho cha Cool, Lovable, Outrageus, Unique, Dynamic, Sound ilianzishwa mwaka 1998 nakukua na kuwa miongoni mwa vyombo vya habari maarufu sana nchini Tanzania. Hivi sasa Clouds Entertainment Limited inajumuisha Clouds FM, PrimeTime Promotions, Choice FM, Coconut Radia Station, Clouds TV, Ngoma Web Tv na Kitangoma Magazine.

Upo wasifu wa Clouds Television katika Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) ambapo Alex Mkama Kusaga ana (25%) ya hisa, kama alivyo Joseph Kusaga. Clouds Entertainment Limited ina 50% ya hisa. Wamiliki wa sasa wa hisa za Clouds Entertainment ni Joseph Kusaga 50%, Judith Violet kusaga 10%, Sheba Martha Kusaga (10%) Dogan Andrew Kusaga (10%), Joyce Alex Kusaga(10%), Alex Justine Kusaga (5%) na Prisca Mkama Kusaga (10%) .
Mbona hiyo historia ni kuduchu sana.

Joseph Kusaga..............
Alizaliwa lini
Baba yake ni nanMama yake nani
Alisoma shule zipi
Matokeo ya shule
Alianzia wapi disco(Clouds Disco Mwananyama,a?)
Clouds alia zia jengo gani
Kuungua kwa Studio ya kwanza.
Walipohamia
Sasa kampuni Zilipo
Picha za Joseph kusaga
Picha za Ruge
Kifo cha mbia Ruge
Wanavyoendelea sasa...............
...................
Hadithi iwe inajibeba!

Fanya research makini uto the whole story si robo robo.
 
Hemu tuleteeni historia inayoendana na uharisia wa kijana bana yaani unaandika tu

“eti alipendezwa na muziki akaamua kufungua TV yake na mbia mwenzie”

HOW inamaana kijana wowote leo akipendezwa afunguo kiwanda cha maji Safi anafungua tu kwasababu alipendezwa, tunataka kujua MTAJI aliupata wapi, aliupataje ??
Alipewa na Baba yake baada ya kupata mafao ya kustaafu kazi. Ndio maana Clouds ni mali ya familia ya Kusaga
 
Kim&Boyz ndiyo ilikuwa ya Magomelo?...
Enz za kina Digadiga,Black Moses ,Saba Jackson....
Marehemu Abdulhakim Magomelo alikuwa mtu poa sana.

Aliturusha sana kwenye "Yo Rap Bonanza" na concerts nyingine watoto wa mjini wa siku hizo.

DJ Kim mtu mmoja mtaratibu sana, halafu ana akili ya kuweza kukaa na watu wa kila aina, kuanzia wa Uswazi kina GWM mpaka wa Ushuani Masaki IST, wakorofi wa ghetto mpaka Waswalihina.

Alikuwa na apartment yake katikati ya mji hapa Mchafukoge ukipita kidogo tu ilipokuwa Billicanas.

Tulikuwa tunaenda tunapiga stories sana za mambo ya muziki na burudani.

DJ Kim anaandaa concert kubwa sana wanakuja mabishoo wote wa mjini. Wanakuja wagumu wote. Anatuunganisha tunafurahia muziki kistaarabu bila kujali tofauti zetu.

Lakini ukimuona alivyo mpole na mtaratibu hana majivuno hata huwezi kujua huyu ndiye DJ Kim Magomelo.

Umenitajia rafiki yangu umenikumbusha zamani sana Dar. Aliturusha sana.

RIP Kim Magomelo.

Alivyofariki gazeti la This Day lilimuandika hapa.
Home » Columnist
 
Nandy % yake iko wapi?
Joseph M. Kusaga

Joseph Kusaga ni mwanzilishi wa CLOUDS Entertainment Limited, alizaliwa na kulelewa Musoma, mji uliopo kwenye ufukwe wa Ziwa Victoria. Alihamia Dar es salaam akiwa na umri wa miaka 5 baada ya baba yake aliyekuwa mtumishi wa serikali kuhamishiwa kwenye jiji la biashara. Yeye ni mtoto wa nne kwenye familia ya watoto tisa, wavulana watano na wasichana wane.

Kusaga alikuwa na shauku ya muziki tangu umri mdogo sana. Alianza kuandaa matamasha tangu alipokuwa chuoni akisomea Electronics. Ingawa Baba na Mama yake hawakuwa na matumaini makubwa katika kuandaa matamasha, walimwamini na kuwa na uhakika nae, na hatimaye, kwa msaada wa wazazi, na baada ya kipindi kifupi alikuwa DJ maarufu na mtayarishaji matamasha.

Alipata wazo la kuanzisha kampuni ya vyombo vya habari wakati wa ziara yake nchini Marekani alipoishi New York City na Los Angeles na kuvutiwa na hali ya muziki wa sehemu hiyo. Alipokuwa Los Angeles aliungana na mbia mwenzake wa biashara wa muda mrefu Ruge Mutahaba na kuanzisha mpango wa kufungua kituo cha redio nchini Tanzania ambacho kitajulikana kuwa ni CLOUDS FM.

CLOUDS-ambacho ni kifupisho cha Cool, Lovable, Outrageus, Unique, Dynamic, Sound ilianzishwa mwaka 1998 nakukua na kuwa miongoni mwa vyombo vya habari maarufu sana nchini Tanzania. Hivi sasa Clouds Entertainment Limited inajumuisha Clouds FM, PrimeTime Promotions, Choice FM, Coconut Radia Station, Clouds TV, Ngoma Web Tv na Kitangoma Magazine.

Upo wasifu wa Clouds Television katika Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) ambapo Alex Mkama Kusaga ana (25%) ya hisa, kama alivyo Joseph Kusaga. Clouds Entertainment Limited ina 50% ya hisa. Wamiliki wa sasa wa hisa za Clouds Entertainment ni Joseph Kusaga 50%, Judith Violet kusaga 10%, Sheba Martha Kusaga (10%) Dogan Andrew Kusaga (10%), Joyce Alex Kusaga(10%), Alex Justine Kusaga (5%) na Prisca Mkama Kusaga (10%) .
 
Back
Top Bottom