Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,199
- 10,932
Kuna historia ya raisi wa mwanzo wa Zanzibar marehemu Abeid Amani Karume inayosimuliwa na Dennis Mpagaze na Ananieli. Hii historia inamwita Karume ndiye aliyewatoa wazanzibari utumwani. Na kila ilipotaja waarabu imewataja kwa sura mbaya sana.
Hawa jamaa inaonekana wana ajenda maalumu kwa Zanzibar na hawana haja na historia ya kweli. Wangekwenda kumhoji marehemu Ameir bin Ameir wa Bwejuu Zanzibar kabla ya kifo chake mwezi uliopita kwani anavyomfahamu Karume aliyeishi naye visiwani humo na kumshuhudia tangu udogo wake ana historia tofauti na akina Dennis.
Zaidi ya hivyo utumwa ulishaondolewa duniani zamani kabla hata Karume hajazaliwa inakuwaje tena gobal tv wanasema yeye ndiye aliyezaliwa ili aje kuuondosha. Nani hao waliokuwa wakiendeleza Utumwa.
CC Mohamed Said
Hawa jamaa inaonekana wana ajenda maalumu kwa Zanzibar na hawana haja na historia ya kweli. Wangekwenda kumhoji marehemu Ameir bin Ameir wa Bwejuu Zanzibar kabla ya kifo chake mwezi uliopita kwani anavyomfahamu Karume aliyeishi naye visiwani humo na kumshuhudia tangu udogo wake ana historia tofauti na akina Dennis.
Zaidi ya hivyo utumwa ulishaondolewa duniani zamani kabla hata Karume hajazaliwa inakuwaje tena gobal tv wanasema yeye ndiye aliyezaliwa ili aje kuuondosha. Nani hao waliokuwa wakiendeleza Utumwa.
CC Mohamed Said