Maneno yako ni mazuri sana! Na inafaa sana yakafanyiwa kazi. Sijui hawa waandishi habari wa Tanzania wanafanya kazi gani! Yaani wamejawa na upuuzi upuuzi na umbea tu.
Mtoni mtogani kwa Azizi Ally kumbe kuna Historia mzuri lakn TV na RADIO zetu huwezi kukuta wameandaa documentary ili vizazi na vizazi vifaidike.Make watoto wanaokua sa hv wanamuona DIAMOND NA ZARI Kama wapigania UHURU
Mungu aendelee kumlinda au amuhifadhi?. Amuhifadhi utaendelea kufaidikaje?, labda kwa rejea za maandiko yake, au wenzetu Mungu akiisha kukihifadhi utaendelea kufaidisha watu ukiwa kule?.
P
Aziz Ali alifariki mwaka wa 1950 miezi michache baada ya kutoka kuhiji Makka. Hata kwa mbali katika maisha yake haikumpitikia kuwa mali aliyoacha nyuma itakuja kutumika katika kupigania uhuru wa Tanganyika kwanza fedha zake zikitumika wakati wa TAA kisha TANU kupitia mwanae wa kwanza Dossa Aziz. Itoshe kusema tu gari alilomnunulia mwanae Nairobi mwaka wa 1947 kama kiliwazo baada ya kukataliwa katika masomo ya urubani kwa kuwa ni mtu mweusi, ndilo Dossa alilitoa kwa TANU mwaka wa 1954 kwa ajili ya kumsaidia Mwalimu Nyerere kufanya kazi zake kwa wepesi.
Aziz Ali
Aziz Ali amekuja Dar es Salaam mwanzo wa Vita Kuu ya Kwanza (1914-1918) akiwa askari katika jeshi la Wajerumani na baada ya vita aliajiriwa na Goa mmoja.
Mwajiri wake alipoondoka nchini alimwachia Aziz Ali gari mbili na hizi ndizo alizokuwa akifanyia biashara hapo mwanzo na kufungua kampuni ya ujenzi akaajiri mafundi.
Aziz Ali akiwa kijana
Kwa hakika jina lake hasa ni Ali Kidonyo.
Hili ndilo jina lake alilojulikana akiwa mtoto na kisha kijana kwao Tanga.
Hili Aziz alipewa na watu wa Dar es Salaam kwa hisani na wema wake.
Yeye alikuwa akitoa fursa kwa watu kumpa pesa kidogo kidogo kama malipo ya nyumba alizokuwa anawajengea na alikuwa mtu akishindwa kulipa akimpa muda hadi atakapoweza.
Nyumbani kwake mwezi Mtukufu wa Ramadhani alikuwa akitandika nje majamvi na kufuturisha hadi watu 100 asiowajua wakija wanafuturu na kuondoka.
Ndipo wakamwita "Aziz" yaani "Mpenzi." Ikawa wakimtaja jina wanatanguliza "Aziz," yaani "Kipenzi chetu Ali."
Kidonyo jina hili la kwao Tanga likafa kabisa.
Aziz Ali alikuwa mcha Mungu sana.
Alikataa kumwanzisha shule mwanae mkubwa Waziri maarufu kwa jina la Dossa hadi kwanza ahitimu Qur'an.
Hii ikapelekea Dossa kuanza shule darasa la kwanza akiwa na miaka 14 akawa darasa moja na Abbas Sykes mdogo wa tatu kwa rafiki yake Abdulwahid Sykes.
No ni Mzee Mussa Hassan aliyekuwa akiishi Mikoroshini, Wamakonde wakashindwa kutamka Musa Hassan, wakatamka Mucha Achani ndipo ikageuka Msasani. Beach yake ilikuwa na nyumba 6 tuu, ya Nyerere, Kambona, Bert Shackland, Simbeye, Naburi not uwanja tupu wa Tewa Said Tewa. Mbele ya Mikoroshini kulikuwa na miti ya mikoche ndio asili ya Mikocheni.
Mtoni mtogani kwa Azizi Ally kumbe kuna Historia mzuri lakn TV na RADIO zetu huwezi kukuta wameandaa documentary ili vizazi na vizazi vifaidike.Make watoto wanaokua sa hv wanamuona DIAMOND NA ZARI Kama wapigania UHURU
No ni Mzee Mussa Hassan aliyekuwa akiishi Mikoroshini, Wamakonde wakashindwa kutamka Musa Hassan, wakatamka Mucha Achani ndipo ikageuka Msasani. Beach yake ilikuwa na nyumba 6 tuu, ya Nyerere, Kambona, Bert Shackland, Simbeye, Naburi not uwanja tupu wa Tewa Said Tewa. Mbele ya Mikoroshini kulikuwa na miti ya mikoche ndio asili ya Mikocheni.
Ilipoishia story ya mtoa mada inatosha kumuweka Ali ktk kundi la mashujaa kama ulivyosema?au atasemwa tu na wale wanaomjua kua yeye ni shujaa?any way na wewe utupe madini,ushujaa wa Aziz Ali unatokana na nini?
Ha ha haa! Nilitaka this time atoe historia ya Mkristu walau mmoja, maana kila historia anayotoa ni ya mwenzetu tu kama vile Tanganyika haikuwa na wagalatia
No ni Mzee Mussa Hassan aliyekuwa akiishi Mikoroshini, Wamakonde wakashindwa kutamka Musa Hassan, wakatamka Mucha Achani ndipo ikageuka Msasani. Beach yake ilikuwa na nyumba 6 tuu, ya Nyerere, Kambona, Bert Shackland, Simbeye, Naburi not uwanja tupu wa Tewa Said Tewa. Mbele ya Mikoroshini kulikuwa na miti ya mikoche ndio asili ya Mikocheni.
Aziz Ali alifariki mwaka wa 1950 miezi michache baada ya kutoka kuhiji Makka. Hata kwa mbali katika maisha yake haikumpitikia kuwa mali aliyoacha nyuma itakuja kutumika katika kupigania uhuru wa Tanganyika kwanza fedha zake zikitumika wakati wa TAA kisha TANU kupitia mwanae wa kwanza Dossa Aziz. Itoshe kusema tu gari alilomnunulia mwanae Nairobi mwaka wa 1947 kama kiliwazo baada ya kukataliwa katika masomo ya urubani kwa kuwa ni mtu mweusi, ndilo Dossa alilitoa kwa TANU mwaka wa 1954 kwa ajili ya kumsaidia Mwalimu Nyerere kufanya kazi zake kwa wepesi.
Aziz Ali
Aziz Ali amekuja Dar es Salaam mwanzo wa Vita Kuu ya Kwanza (1914-1918) akiwa askari katika jeshi la Wajerumani na baada ya vita aliajiriwa na Goa mmoja.
Mwajiri wake alipoondoka nchini alimwachia Aziz Ali gari mbili na hizi ndizo alizokuwa akifanyia biashara hapo mwanzo na kufungua kampuni ya ujenzi akaajiri mafundi.
Aziz Ali akiwa kijana
Kwa hakika jina lake hasa ni Ali Kidonyo.
Hili ndilo jina lake alilojulikana akiwa mtoto na kisha kijana kwao Tanga.
Hili Aziz alipewa na watu wa Dar es Salaam kwa hisani na wema wake.
Yeye alikuwa akitoa fursa kwa watu kumpa pesa kidogo kidogo kama malipo ya nyumba alizokuwa anawajengea na alikuwa mtu akishindwa kulipa akimpa muda hadi atakapoweza.
Nyumbani kwake mwezi Mtukufu wa Ramadhani alikuwa akitandika nje majamvi na kufuturisha hadi watu 100 asiowajua wakija wanafuturu na kuondoka.
Ndipo wakamwita "Aziz" yaani "Mpenzi." Ikawa wakimtaja jina wanatanguliza "Aziz," yaani "Kipenzi chetu Ali."
Kidonyo jina hili la kwao Tanga likafa kabisa.
Aziz Ali alikuwa mcha Mungu sana.
Alikataa kumwanzisha shule mwanae mkubwa Waziri maarufu kwa jina la Dossa hadi kwanza ahitimu Qur'an.
Hii ikapelekea Dossa kuanza shule darasa la kwanza akiwa na miaka 14 akawa darasa moja na Abbas Sykes mdogo wa tatu kwa rafiki yake Abdulwahid Sykes.
we mzee Mungu akusaidie tu, hii yote unaandika ukiwa na ukereketwa wa kidini, unataka kutuambia, kama ulivyozoea, kwamba waislam ndio waliokomboa nchi hii na kwamba wanaonewa, na huna ushahidi wala sababu ya msingi kusema hivyo.
unahitaji kitu kimoja tu kwa umri wako huu, tena nakuheshimu kama baba yangu kwa umri wako, ila kwa kukusaidia, UNATAKIWA UOKOKE, UWE MKRISTO ILI UURITHI UZIMA WA MILELE, usije kuondoka duniani hapa kabla haujampa Yesu Maisha yako kwasababu umepoteza muda katika maisha yako yooote tangu utoto hadi uzee kuabudu mungu asiyeonekana, allah mungu wa kiarabu, asiyeokoa na ambaye ni shetani mwenyewe. tangu enzi zako za fujo za mwembechai, hadi kutukana wakristo kwamba ni makafiri na uhamasishaji wako wote wa chuki katika nchi hii, hakuna ulichofanikiwa maishani. tumaini lako ni kwa mungu allah ambaye hana mbingu ya kukupeleka, unahitaji kuwa Mkristo, uokoke, mpe Yesu Kristo maisha yako kabla kibatari hakijaisha mafuta hapa duniani, ni kwa njia ya Yesu Kristo pekee unaweza kuurithi uzima wa milele, nje ya hapo umepoteza muda wako wote ulioishi hapa duniani. Ushauri huu uuchukue, ukaufanyie kazi, na uukumbuke maisha yako yote,na omba Mungu usije kuja kuukumbuka wakati unawaka moto wa jehanum. Mungu akusaidie ufunguke.
Nashukuru nimejifunza kitu, sikuwahi kujua kuwa mikocheni ni jina lililotokana na hiyo miti ya mikoche.
Na yule uliyemtaja kama Musa Hassan isingekuwa rahisi kwa ndugu yetu Mohamed kumfahamu.
Msasani kipindi hicho ni kijiji walikoishi wavuvi wachache sana, Mohamed angefata nini kwa wavuvi hao miaka hiyo akitokea Kariakoo?
Dar imebadilika kwa kasi sana kuanzia miaka ya 1970. Nakumbuka 1980 kuanzia Lugalo hadi kibao cha Africana ilikuwa pori. Mwaka 1981 tumemuua nguruwe pori hapo kunduchi maeneo ya kambi ya jeshi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.