Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,906
- 30,247
- Thread starter
- #21
Bujibuji,Mohamed Said nini asili ya jina Kinondoni?
Sijui.
Bujibuji,Mohamed Said nini asili ya jina Kinondoni?
Tumtendee haki Maalim, hawezi kuwajua al maarufu wote wa Darisalama hiyo, bali wale waliojihusisha na siasa.kujinasibu kote wewe 'mdaslam' hili hulijui?
Halafu waliokufa ni wema na ni wajanja zaidi kuliko hawa wanaojifanya wajanja kwa sasa.Ardhini kumemeza mashujaa wengi mnoo .
Maneno yako ni mazuri sana! Na inafaa sana yakafanyiwa kazi. Sijui hawa waandishi habari wa Tanzania wanafanya kazi gani! Yaani wamejawa na upuuzi upuuzi na umbea tu.Mtoni mtogani kwa Azizi Ally kumbe kuna Historia mzuri lakn TV na RADIO zetu huwezi kukuta wameandaa documentary ili vizazi na vizazi vifaidike.Make watoto wanaokua sa hv wanamuona DIAMOND NA ZARI Kama wapigania UHURU
Kuna nyumba ya Nyerere pale Na alikua akishi baada ya kung'atuka kabla hajajengewa nyumba kubwa butiamaMohamed Said, mimi naomba asili ya jina la eneo linaloitwa Kwa Mwalimu Nyerere njia ya Kawe
Muliza swali anataka tu kumsumbua Mzee MO. Hii ni kejeli wakati ..Kuna nyumba ya Nyerere pale Na alikua akishi baada ya kung'atuka kabla hajajengewa nyumba kubwa butiama
Ha ha haa! Nilitaka this time atoe historia ya Mkristu walau mmoja, maana kila historia anayotoa ni ya mwenzetu tu kama vile Tanganyika haikuwa na wagalatiaMuliza swali anataka tu kumsumbua Mzee MO. Hii ni kejeli wakati ..
kujinasibu kote wewe 'mdaslam' hili hulijui?
Wewe leta basi historia za hao wengineHa ha haa! Nilitaka this time atoe historia ya Mkristu walau mmoja, maana kila historia anayotoa ni ya mwenzetu tu kama vile Tanganyika haikuwa na wagalatia
Sio vibay mtu kusem hajui na kusem hujui ni moja ya elimu hakun anayejib kil kitu zaid ya mitume
Nimejaribu kufungua ila imenipeleka Gmail, naomba link mzee wangu.
Sina haja ya kuleta maana ndiyo hiyo uliyofundishwa darasani ya akina Julius Nyerere na akina Oscar Kambona, sio hizi za akina Aziz Ali ambazo hazipo kwenye mtaala wowoteWewe leta basi historia za hao wengine
Ha wa kwa kimombo huwa tunawaita haters yaani wanakuchukia hata bila sababu yoyteLukubuzo...
Adabu ni kitu cha bure.
Unaweza ukaeleza hayo yote kwa lugha ya kistaarabu na uungwana.
Ningependa sana kujua nini kimekughadhibisha kiasi umekuja na shari.
Tax...Nimejaribu kufungua ila imenipeleka Gmail, naomba link mzee wangu.
Wasaalaam
hahahah,unategemea historia ya kwenye mtaala?.pole yako mkuu,endelea ivoivo.Sina haja ya kuleta maana ndiyo hiyo uliyofundishwa darasani ya akina Julius Nyerere na akina Oscar Kambona, sio hizi za akina Aziz Ali ambazo hazipo kwenye mtaala wowote
Nilihitaji kupata hilo jarida/kitabu.Tax...
Tafadhali nifahamishe unachotaka kujua.