anonymousafrica
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 611
- 639
- Thread starter
- #21
OKEY ... mwanzo hukumtaja jina... nisingeweza otea kama ni Flipe Magaia. Nikaenda direct kwa Mondlane coz ndiye aliyeuawaAliyekuwa na mke mzungu ni Eduardo mondlane, huyu Filipe Samuel Magaia alikuwa ni mkuu wa idara ya usalama ndani ya Fre limo, baada ya Felipe kuuliwa na mtu mmoja wa kuitwa Lourenço idara hii ikawa inaongozwa na Ma chel
Nalog off