Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,879
Tushanyonywa sana atheeeInauma halafu bado tunajipendekeza kwao na kuwakaribisha kuwekeza kha!! tuna moyo mashine
Cha ajabu mwarabu mmoja mwenye gobore moja alikuwa na uwezo wa kuwathibiti wanaume 50 weusi, kuwafunga cheni, kuwasafirisha hadi ulaya na kuwauza kama mbuzi.Inauma halafu bado tunajipendekeza kwao na kuwakaribisha kuwekeza kha!! tuna moyo mashine
Duh! i think we have to make changeCha ajabu mwarabu mmoja mwenye gobore moja alikuwa na uwezo wa kuwathibiti wanaume 50 weusi, kuwafunga cheni, kuwasafirisha hadi ulaya na kuwauza kama mbuzi.
Tuna akili au matope?
Hakuna namna sisi tumekuwa bichwa Maji tuna rasirimali,wao wana hela na teknolojia.Inauma halafu bado tunajipendekeza kwao na kuwakaribisha kuwekeza kha!! tuna moyo mashine
Hivi kuna juhudi zozote zinazofanywa na viongozi wa afrika kujitoa kwenye ukoloni mamboleo..?Tushanyonywa sana atheee
Utafungua kesi wapi? Mahakama zote za kiarifu zenye nguvu ziko kwao,yaani itakuwa ni kupeleka kesi ya sokwe kwa tumbili.Hivi kwani hatuwezi kufungua kesi tukawashtaki hawa jamaa..?
Hapana kwa mateso yote tuwafungulie mashtaka...!!
Mi nshawai jiulize hilo swaliHivi kwani hatuwezi kufungua kesi tukawashtaki hawa jamaa..?
Hapana kwa mateso yote tuwafungulie mashtaka...!!
Hakuna kitu kama ichoHivi kuna juhudi zozote zinazofanywa na viongozi wa afrika kujitoa kwenye ukoloni mamboleo..?
Dah! kutuacha hawa mpk ipatikane sayari nyengine itakayokidhi mahitaji yao sijui wkt huo tutakuwaje.....Hakuna namna sisi tumekuwa bichwa Maji tuna rasirimali,wao wana hela na teknolojia.
Hakuna kitu, kwa sasa ujinga ndiyo umezidi.Watu wa zamani wengi walikuwa mamburula,waje sasa hivi waone yaani yatatembea mapanga shaa mpaka basi.
kama hakuna basi tutaendelea kupata matokeo yaleyale duuuuh!Hakuna kitu kama icho
Kwahiyo kwa sasa wanaweza kukufunga minyororo na kukupeleka ulaya kirahisi?Hakuna kitu, kwa sasa ujinga ndiyo unezidi.
Kwa zama hizi hawahangaiki na kutufunga minyororo maana tunajipeleka wenyewe kwa gharama zetu.Kwahiyo kwa sasa wanaweza kukufunga minyororo na kukupeleka ulaya kirahisi?