Hawa wana siasa wanatuchanganya tu hapa;
Usishangae ukiambiwa walikubaliana watoke nje ya ukumbi ili mambo yapite kilaini;
Huyu mschana ni HAPPY KATABAZI yule nilekuwa nasoma makala zake kwenye tz daima,,,! km nikweli basi usemi wa ADUI yako ucmpige panga muombee NJAA unaleta maana sna khaa,,,,!
Its beyond ridiculousness.
Dont you feel ashamed of yourslf to stand here and playing this POLITICAL PONOGRAPHY and insulting walalahoi wa nchi hii??
Mna laana nyinyi.
I am telling you guys hii katiba itawatokea puani.
Subirini muone.
Katabazi , yule mtoto wa nani hii aliyekuwa waziri umeshampelekea baba yake ? Na yule mwingine wa yule Hakimu sijui Jaji vipi?
Its beyond ridiculousness.
Dont you feel ashamed of yourslf to stand here and playing this POLITICAL PONOGRAPHY and insulting walalahoi wa nchi hii??
Mna laana nyinyi.
I am telling you guys hii katiba itawatokea puani.
Subirini muone.
Sikujua kuwa huyu mdada anaweza na akili kinyesi namna hii.
Pole Katabazi.Hivi kwa akili yako unadhani katiba hiyo ya majambazi itapita?
Katiba unayoishabikia inasema hivi:
Ninahisi wewe Katabazi una roho ya ufisadi mama.Kama Mungu yu upande wetu,ni nani aliye juu yetu? Wakati ukifika utakapoona yakitokea mambo usiyotarajia,nina wasiwasi BP itakuwahisha kuzimu.
- Hakuna ukomo wa ubunge
- Kuweka fedha kwenye akaunti ya nje ruksa (mafisadi wote wana akaunti nje ya nchi wakiongozwa na Chenge)
- Uadilifu, uwajibikaji, uwazi havifai kuwa tunu za taifa (mikataba ya siri ndiyo roho ya mafisadi)
- Mawaziri lazima wawe wabunge (watawakilisha saa ngapi majimbo yao?)
- Mbunge haruhusiwi kuwajibishwa na wananchi wake hata kama haonekani jimboni kwa muda mrefu.
- Ubunge ni sifa ya kuwa spika (chama lazima kilindwe bungeni na mlinzi huyo ni spika) nk
Maandiko yako kwenye ukuta mama,kidole kinaandika mambo yasiyoeleweka.Kama Belshaza,ccm inajiona iko salama kumbe kifo kinagonga mlango.Nakushauri mama katabazi uanze kusoma katikati ya mstari.[/QUO
Kanuni za uongozi wa umma
29.-(1) Kiongozi wa umma, akiwa katika kazi za ofisi au kazi binafsi au wakati amejumuika na watu wengine, atahakikisha kwamba mwenendo wake:
(a) hauruhusu kutokea mgongano wa maslahi kati ya maslahi binafsi na maslahi ya utumishi wa umma;
(b) haushushi hadhi ya ofisi anayofanyia kazi; au
(c) hauruhusu matumizi ya ofisi ya umma kwa maslahi binafsi.
(2) Kwa madhumuni ya Katiba hii, Bunge litatunga sheria itakayoweka, pamoja na mambo mengine:
(a) tafsiri ya neno zawadi, aina, thamani, kiwango na uhifadhi wa zawadi ambayo kiongozi anapokea wakati akitekeleza majukumu yake;
(b) masharti ya kufungua akaunti za nje kwa kiongozi wa umma;
(c) masharti ya kumtaka kiongozi wa umma kutoa tamko la mali na thamani yake, madeni yake pamoja na ya mwenza wake wa ndoa na mtoto wake aliye chini ya umri wa miaka kumi na nane;
(d) masharti ya kuzuia kiongozi wa umma kutoshiriki kufanya uamuzi wa jambo au shughuli yoyote ambayo ana maslahi nayo yeye binafsi, mwenza wake wa ndoa, mtoto wake, jamaa au rafiki yake au mtu yeyote wa karibu;
(e) masharti ya matumizi ya mali ya umma;
(f) utaratibu wa utwaaji wa mali za kiongozi wa umma zinazopatikana kwa kukiuka sheria;
(g) utaratibu wa kumwajibisha kiongozi wa umma aliyekiuka maadili na miiko ya uongozi wa umma; na
(h) mambo yasiyotakiwa kwa watumishi wa umma.
(3) Wadhifa wa kiongozi wa umma kama ulivyotumika katika Sehemu hii utajumuisha kiongozi wa kuchaguliwa au kuteuliwa kama itakavyoainishwa kwenye sheria za nchi.
(4) Mamlaka ya Nchi itaweka utaratibu utakaowezesha kuanzishwa kwa mitaala inayohusu Katiba, maadili na uraia shuleni na vyuoni.
Pole Katabazi.Hivi kwa akili yako unadhani katiba hiyo ya majambazi itapita?
Katiba unayoishabikia inasema hivi:
Ninahisi wewe Katabazi una roho ya ufisadi .
- Hakuna ukomo wa ubunge
- Kuweka fedha kwenye akaunti ya nje ruksa (mafisadi wote wana akaunti nje ya nchi wakiongozwa na Chenge)
- Uadilifu, uwajibikaji, uwazi havifai kuwa tunu za taifa (mikataba ya siri ndiyo roho ya mafisadi)
- Mawaziri lazima wawe wabunge (watawakilisha saa ngapi majimbo yao?)
- Mbunge haruhusiwi kuwajibishwa na wananchi wake hata kama haonekani jimboni kwa muda mrefu.
- Ubunge ni sifa ya kuwa spika (chama lazima kilindwe bungeni na mlinzi huyo ni spika) nk
Hoya ndugu rudi kwenye maada na siyo kumfuata mtu . Je UKAWA ipo hai???
Duh Hilo silijui ila namba yake si niliweka kama ujaiona fuata kwenye blog yake utaiona na umuulize. Maada. Je, UKAWA ipo hai??? Mi naona imekufa.UKITAKA AKUANDIKIE HABARI YAKO UTAKAVYO MPE PESA TU! ndo zake
Duh!
Halafu waandishi wa habari wakitoka Tz Daima, wanahamia New Habari; kulikoni? List ni ndefu. Wakishahamia huko, wanaanza kuponda upinzani; na hasa CDM.
umenifungua akil mana nilidhan ni mtu makin kaandika kumbe ni chakula cha wakubwa
Acha kukurupuka na kusema jamii. Wewe unaweza kumharibia nani wakati wewe mwenyewe ni kibaraka wa UKAWA. ambaye ni marehemu sasa. Pole find a new master.Anapoteza nguvu nyingi yeye anaAhisi ...anaihujumu Ukawa kumbe anapambana na jamii nzima ..lazima tuanze na wewe na kama haitoshi ni lazima nikufate hata Bk nikuharibie ..unahongwa vijibwana vyako unahisi tayari uko peponi nyau mkubwa wdwe
Kama akili yako si ndiyo ulizani una akili kinyesi mwenyewe>??Sikujua kuwa huyu mdada anaweza na akili kinyesi namna hii.
Kwa bahati mbaya hapa si kwa KAGAME. hapa ni kwa KAMCHEZONapita nikifika narudi.....watu hawa Kagame anawaita Inyenzi