Hisia zimebadikika (naombeni ushauri)

Hisia zimebadikika (naombeni ushauri)

insta babe tuachane na haya kwanza.... lini hivi utageuka
Hahaha
Insta babe naona mtekaji ameamia kwako

Sasa insta babe mbona mchokozi lakini nageukaje picha sio yangu nimeiokota nilipokutana nayo nimeipenda tu kuona aliyevaa ni shabiki mwenzangu wa man u
 
Hahaha
Insta babe naona mtekaji ameamia kwako

Sasa insta babe mbona mchokozi lakini nageukaje picha sio yangu nimeiokota nilipokutana nayo nimeipenda tu kuona aliyevaa ni shabiki mwenzangu wa man u

mtekaji anatuteka kwa zamu insta babe....

alafu unajua mimi hata darasan nilikuwaga sielewi yani nakrem sasa basi kwenye kukrem nipo vizuri sana

hiyo location nimeikrem ujue ndio ile ya avatar iliyopita 😂😂😂😂
 
mtekaji anatuteka kwa zamu insta babe....

alafu unajua mimi hata darasan nilikuwaga sielewi yani nakrem sasa basi kwenye kukrem nipo vizuri sana

hiyo location nimeikrem ujue ndio ile ya avatar iliyopita
Halafu ndio nimejua sasa hivi unavyoniambia kumbe location ni ile ya mwanzo huyu dada lakini kwa nn kapiga picha sehemu moja ningekuwa namjua ningemuuliza insta babe
 
Hivi kwa nn umetoa avatar ya mwanzo
alafu kumbe nimebadilisha avatar ...hii simu inakiherehere siunajua tekno nimeiweka mfukoni yenyewe imebadilisha hadi avatar

ipo siku ntakuta imeniweka sura yangu hapa 😂
 
Sijui kwanini members wengi sasa wabakuja na ID nyingine.!!!!
 
Halafu ndio nimejua sasa hivi unavyoniambia kumbe location ni ile ya mwanzo huyu dada lakini kwa nn kapiga picha sehemu moja ningekuwa namjua ningemuuliza insta babe
😂😂😂😂😂 insta babe una bahati sana ya kuziokota picha za huyo mdada 😂😂

maana hii ni ya tatu ujue
 
Hahahah
Mtekaji sio mtu mzuri huyu kabisa kutubadilishia mpaka avatar
insta babe baada ya mapambano makali na mtekaji nimefanikiwa kurudisha avatar yangu...ila sasa hivi inatakiwa niwe makini na huyu mtekaji asicheze tena na avatar yangu 😂
 
insta babe baada ya mapambano makali na mtekaji nimefanikiwa kurudisha avatar yangu...ila sasa hivi inatakiwa niwe makini na huyu mtekaji asicheze tena na avatar yangu
Hahahah uwe makini sana mtekaji atacheza mpaka na pm zako uko
 
Hahahaha itakuwa anaogopa kugeuka na sura ya baba ake msije mkakimbia

Bora avatar imerudi
hyo sura ya baba ipo wapi insta babe... sura nzuri hivyo ...

inaonekana kwenye kioo pale mbele ukizoom imereflect angalia vizuri
 
Back
Top Bottom