Hisia zimebadikika (naombeni ushauri)

Hisia zimebadikika (naombeni ushauri)

mzee wa kasumba

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
1,440
Reaction score
2,963
Habari za asubuhi ndugu zangu

Mimi Ni kijana wa kiume. mwenye umri wa miaka 29. Nilikua na mahusiano na msichana flani kwa muda mrefu zaidi ya mwaka mmoja. Na hatimae nikaamua kufunga naye ndoa.

Lakini kitu Cha kushangaza , tangu nimefunga ndoa nimekua dhaifu katika suala la sex (viwili tu chali) wakati hapo kwenye mahusiano siku za nyuma nilikuwa naenda mpaka 4 au 5.

Ni Nini tatizo hapa ??

Nasubiri majibu/mapovu nk.
 
Habari za asubuhi ndugu zangu

Mimi Ni kijana wa kiume. mwenye umri wa miaka 29. Nilikua na mahusiano na msichana flani kwa muda mrefu zaidi ya mwaka mmoja. Na hatimae nikaamua kufunga naye ndoa.

Lakini kitu Cha kushangaza , tangu nimefunga ndoa nimekua dhaifu katika suala la sex (viwili tu chali) wakati hapo kwenye mahusiano siku za nyuma nilikuwa naenda mpaka 4 au 5.

Ni Nini tatizo hapa ??

Nasubiri majibu/mapovu nk.
Wewe siyo tatizo ila tatizo itakuwa mazoea ya kuiona mbunye kila wakati mkuu mwanzo ilikuwa mnaibia mkikutana siku unakuwa na genye kweli ila sasa hivi unakula ata bila genye hivyo viwili vinatosha tu kama mwenzio pia analizika hizo nguvu za mbili nyingine amka Asubuhi ukatafutie chapaa mkuu
 
Umekula sana Mbunye tofauti kabla hujaoa, tafuta manzi utafune halafu likupe kaswende utajua thamani ya Mbunye ya mkeo.
 
Unaamka nayo,unalala nayo,unashinda nayo haiwezi kuwa kama enzi mnakutana mkiwa mmekumbukana,hizo mbili zinatosha kabisa zidisha maandalizi na ufundi.
 
Hongera sana mkuu, huku bongo hata kimoja tu kinatushinda mpaka tutumie vumbi la Congo.
 
Back
Top Bottom