mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,440
- 2,963
Habari za asubuhi ndugu zangu
Mimi Ni kijana wa kiume. mwenye umri wa miaka 29. Nilikua na mahusiano na msichana flani kwa muda mrefu zaidi ya mwaka mmoja. Na hatimae nikaamua kufunga naye ndoa.
Lakini kitu Cha kushangaza , tangu nimefunga ndoa nimekua dhaifu katika suala la sex (viwili tu chali) wakati hapo kwenye mahusiano siku za nyuma nilikuwa naenda mpaka 4 au 5.
Ni Nini tatizo hapa ??
Nasubiri majibu/mapovu nk.
Mimi Ni kijana wa kiume. mwenye umri wa miaka 29. Nilikua na mahusiano na msichana flani kwa muda mrefu zaidi ya mwaka mmoja. Na hatimae nikaamua kufunga naye ndoa.
Lakini kitu Cha kushangaza , tangu nimefunga ndoa nimekua dhaifu katika suala la sex (viwili tu chali) wakati hapo kwenye mahusiano siku za nyuma nilikuwa naenda mpaka 4 au 5.
Ni Nini tatizo hapa ??
Nasubiri majibu/mapovu nk.