King huwa unasynchronize sana na mawazo yangu. Huyu mama yake na Fay analeta usanii tu hapa.Yaani miezi sita tu umeshaanza 'kuwa' na wanaume wengine, but yet unashindwa kumsahau?
King huwa unasynchronize sana na mawazo yangu. Huyu mama yake na Fay analeta usanii tu hapa.Yaani miezi sita tu umeshaanza 'kuwa' na wanaume wengine, but yet unashindwa kumsahau?
nimeanza kukuogopa, too much coincidences za maoni.
Itabidi nikutafute.
King huwa unasynchronize sana na mawazo yangu. Huyu mama yake na Fay analeta usanii tu hapa.
hahaha, sasa mi ndo naogopa kukumeet.
Halafu majuzi tu kuna 'ntu' alikuwa ananiambia tunafahamiana. nikacheka sana, manake ole wakoooooooo!
Miez sita halaf .........we una lako