Hisia zangu kwa marehemu!

Hisia zangu kwa marehemu!

Mom Fay

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2014
Posts
1,059
Reaction score
316
Habar ya mida hii wana JF,

Matani na mzaamzaa tuweke pembeni, nipo serious kwa hili nalotaka kulisema hapa,najua jf ni familia yangu,dada zangu,kaka zangu,wakubwa na pia wadogo zangu!

Mwenzenu hisia zangu zinanitesa!!,nashindwa kumsahau aliekuwa kipenzi changu ambae kwasasa ni marehemu kwa takribani miezi 6 (nusu mwaka),bado kanikaa kichwani,.

Nashndwa kumsahau kabisa hata kama nipo na mwanaume mwingine, jana tu nimetoka kuongea na kaka flani hivi anachora tatoo mwilini, nataka nichore jina lake kiunoni mwangu, ila sina uhakika kama nipo sawa na uamuzi huo!!

Ningependa kuwatakia usiku mwema wapendwa wote!!.
 
pole sana usichore hiyo tatoo ndo itazidi kuweka kumbu kumbu ya kudumu jitahidi kujichanganya utasahau tu
 
pole sana usichore hiyo tatoo ndo itazidi kuweka kumbu kumbu ya kudumu jitahidi kujichanganya utasahau tu

asante ila ngumu kumsahau mtu aliekuwa zaidi ya hubby kwako.
 
Habar ya mida hii wana jf!!.

matani na mzaamzaa tuweke pembeni,nipo serious kwa hili nalotaka kulisema hapa,najua jf ni familia yangu,dada zangu,kaka zangu,wakubwa na pia wadogo zangu!

mwenzenu hisia zangu zinanitesa!!,nashindwa kumsahau aliekuwa kipenzi changu ambae kwasasa ni marehemu kwa takribani miezi 6 (nusu mwaka),bado kanikaa kichwani,.nashndwa kumsahau kabisa hata kama nipo na mwanaume mwingine,jana tu nimetoka kuongea na kaka flani hivi anachora tatoo mwilini,nataka nichore jina lake kiunoni mwangu,ila sina uhakika kama nipo sawa na uamuzi huo!!

ningependa kuwatakia usiku mwema wapendwa wote!!.

We hadi unachora tatoo hapo mpelekee jamaa akuchore hafu akugegede vizuri ili umsahau marehemu
 
Punguza mawazo my, ila kwa tatoo,usichore
 
asante ila ngumu kumsahau mtu aliekuwa zaidi ya hubby kwako.

jitahidi kila penye ugumu pana mwisho mzuri muhimu futa kumbukumbu zote kama una picha zake zigawe au choma kabisa na usiwe na chochote kitakachokurudisha nyuma katika zoezi la kumasahau
 
Habar ya mida hii wana jf!!.

matani na mzaamzaa tuweke pembeni,nipo serious kwa hili nalotaka kulisema hapa,najua jf ni familia yangu,dada zangu,kaka zangu,wakubwa na pia wadogo zangu!

mwenzenu hisia zangu zinanitesa!!,nashindwa kumsahau aliekuwa kipenzi changu ambae kwasasa ni marehemu kwa takribani miezi 6 (nusu mwaka),bado kanikaa kichwani,.nashndwa kumsahau kabisa hata kama nipo na mwanaume mwingine,jana tu nimetoka kuongea na kaka flani hivi anachora tatoo mwilini,nataka nichore jina lake kiunoni mwangu,ila sina uhakika kama nipo sawa na uamuzi huo!!

ningependa kuwatakia usiku mwema wapendwa wote!!.

Kafukue kaburi uchukua skeleton uwe unalala nayo. Ni Kanumba nini unayemmisi?
 
Mungu kaweka kusahau utasahau na maisha yataendelea
mambo ya kuchora tattoo waachie kina nay wa mitego
 
Kubali ametutoka na amepumzka kwa amani,ukichora tattoo ina mana unapinga maamuz ya mwenyez mungu kumchukua kiumbe chake,RIP Shem
 
pole Muombe Mungu umsahau marehemu na ukubali kwamba sio ngumu kusahau kama unavyosema. lakini pia sahau mambo ya tattoo.
 
Ulishawahi enda ombewa maana yanaweza kuwa mapepo hayo
 
Pole sana kwa mawazo juu ya marehemu,ila ningependa kukushauri kwa mtazamo wangu kuwa,si jambo jema la kutaka kuchora tatoo ya jina la marehemu,jaribu kumsahau tu,kama walivyosema.wadau wengine chochote chake ambacho unacho jaribu kuwa navyo mbali au uchome kabisa.pili hiyo tatoo unayotaka kuiweka ni kama unajiwekea maagano.yako na.huyo marehemu.mydear kwani yy ameshaenda na kazi yake amemaliza.sasa kwa sisi tuliobaki hatuna tena mawasiliano.na wafu.hii kiimani zaidi.kama ww ni.mkristo.hiyo ni hali tu ya mpito,utasahau tu kwan u binadamu,na ukiendelea na hayo mawazo juu yake kinachofwata ni ww kuanza kumuota na kusema anakutokea.sali kwa imani yako,mwombe Mungu amuondoe kichwani kwako ukimaanisha.pole sana
 
Habar ya mida hii wana jf!!.

matani na mzaamzaa tuweke pembeni,nipo serious kwa hili nalotaka kulisema hapa,najua jf ni familia yangu,dada zangu,kaka zangu,wakubwa na pia wadogo zangu!

mwenzenu hisia zangu zinanitesa!!,nashindwa kumsahau aliekuwa kipenzi changu ambae kwasasa ni marehemu kwa takribani miezi 6 (nusu mwaka),bado kanikaa kichwani,.nashndwa kumsahau kabisa hata kama nipo na mwanaume mwingine,jana tu nimetoka kuongea na kaka flani hivi anachora tatoo mwilini,nataka nichore jina lake kiunoni mwangu,ila sina uhakika kama nipo sawa na uamuzi huo!!

ningependa kuwatakia usiku mwema wapendwa wote!!.

Mom Fay

that is normal

you had a special bond and no one (even Marehemu) can take it away from you; i have experienced it with the loss of a parent, six month ni kipindi kifupi sana, tegemea hiyo hali hata miaka miwili. there are some days you will cry, dream, get mad, and laugh... its is a strange, painful but also a beautiful thing

it is a constant reminder that we should live love like there is no tomorrow

cha kufanya sasa
  1. seek strength from God
  2. omba Mungu na kusali
  3. get out and have fun
  4. try as much as possible to speak and think positive about him and dont regret kwamba you didnt do this or didnt do that
  5. be free to talk about him anywhere, it makes your life a little easier
  6. si lazima kwenda sama makaburini, the less the better (because he is gone forever)
  7. talk to people you used to see him with... assuming he just gone out for a brief trip or something
  8. find new lover but carefully usije ukahamishia msiba kwa huyo jamaa

TRUST in GOD that everything happens for a reason

usichore tattoo yake sio mzazi wako au mwanao huyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom