Hisia zangu juu ya TBC

Hisia zangu juu ya TBC

integralboy

Member
Joined
Jun 30, 2012
Posts
10
Reaction score
2
Yuko wapi TIDO mhando jamani, TBC inakufa maana sijui ni nani huwa anaandaa vipindi kwenye chombo hiki cha habari,

Sasa hivi vipindi ni vibaya havina hata mvuto kuangali, Taarifa ya habari ndo haileweki,Picha inachelewa ku desplay mpaka huwa namuonea huruma mtangazaji,.

ni kipindi kimoja tu ndo huwa kinanifurahisha na si kingine ni ZE COMEDY ORIGINAL;,

ninyi wezangu je?
 
TIDO MHANDO kwa sasa ni mkurugenzi wa kampuni inayochapisha mazeti ya mwananchi.
 
umenitime mkuu

Hii TV ni balaa jingine nchini sidhani kama inajitambua kuwa ni chombo cha serikali kifupi inakera sana katika urushaji matangazo yake mfano

  1. katika kipindi hiki cha bajeti inapo onyesha taarifa zake za habari haonyeshi waziri wa upinzani kasema nini huu ni utoto na sijui kama hata wakikua wataacha
  2. mambo ambayo Rais kayasema/kayafanya katika siku husika mara hayapewi kipao mbele utashangaa habari ya Rais ni mwishoni mwishoni - hawa watu sijui vipi
  3. habari zao zinakuwa biased sana mfano mgomo wa madaktari - yaani hawasemi ukweli tofauti na vyombo vingine vya habari kama magezeti na redio
  4. etc
 
sina habari , TBCCM nlisha sahau kama bado ina bado ipo online ,
 
Back
Top Bottom