Hapo ndio pagumu halafu utakuta mna watoto kadhaaPenzi likiisha fanya jitihada lianze upya, ukiona umeshindwa kabisa rudisha mpira kwa kipa,
Ila sijui utarudisha mipira mingap na kwa wangapi ss
Ana mswamba hatari ila haunisisimui Kama zamaniTatizo umeoa kwa kuangalia tabia sisi tulio oa kwa kuangalia sura na msambwanda mlitucheka.TABIA HAIWEZI KUKUDINDISHA ILA MSAMBWANDA NA SURA VINAWEZA
Hata sijui Kwanini zimekataUmemchoka kwasababu zako binafsi yaan huna mzuka naye???
Umemchoka kwa sababu za mkeo mwenyewe?????
Umeanza kuchepuka????. Ulipokosea toka mwanzo nikushindwa kufanya mahusiano yako yawe mapya kila siku.
Kabla hujamuacha, Kumbuka lazima mgawane mali , mambo ya kumfukuza kinyamela siku hizi tunayashikia bango maana huwez kaa na mtoto wa mtu, umemtombaa weee,umemtombaa weeeee alafu umrudishe kwao akiwa nanguo zake tu.
Sio kweliHuyo toka mwanzo hukumpenda/hukuwa na hisia naye!!
Ngoja nijaribuukiona umemchoka mtongoze tena kwa mara nyingine..sisi huwa tunaita system update
Kampenda sanaaa ila huo ndio ukwelii kuna kipindi hisia zinakataaaa
Umeua mkuuTatizo umeoa kwa kuangalia tabia sisi tulio oa kwa kuangalia sura na msambwanda mlitucheka.TABIA HAIWEZI KUKUDINDISHA ILA MSAMBWANDA NA SURA VINAWEZA
Dah nimecheka kwa sauti sanaTatizo umeoa kwa kuangalia tabia sisi tulio oa kwa kuangalia sura na msambwanda mlitucheka.TABIA HAIWEZI KUKUDINDISHA ILA MSAMBWANDA NA SURA VINAWEZA
Hata sijui Kwanini zimekata
Wengi hapa wanaongea nadharia zaidi ya uhalisia. Kiukweli hata mwanamke awe mzuri kama malaika, ukishaishi nae kwa muda fulani ndani, mnalala, mnaamka kila siku.. hua unaanza kumuona wa kawaida tu na hisia nae zinaisha, awe amezaa au hajazaa. Kama amezaa ndio hali inakua mbaya zaidi!
Ndio maana kuna wakati watu hua wanashangaa eti jamaa mbona mke wake mzuri lakini anachepuka na demu wa kawaida kabisa? Ni kwasababu huyo mzuri umeshamzoea na hakusisimui tena.
Ndio maana mimi siku zote nawaona ndugu zangu waislamu wapo sahihi sana kuruhusu mwanaume aoe hadi wake wanne. Hayo mengine ni kujipa moyo tuu sijui muende hotelini.. mtaenda hotelini mara ngapi? Kila wiki? Kumbuka hapa tunaongelea mfano mke wa ndoa ambae upo nae from january to december






Unayempenda muda wote ukimuona hisia zinaamaka upyaKampenda sanaaa ila huo ndio ukwelii kuna kipindi hisia zinakataaaa
Kuna kitu kinaitwa kukinaii...!! Ukishamzoea sana mtu unamkinaii yani sawa na demu kabla ya kumpata unamuona mzurii ilaa ukishampataa sasaaUnayempenda muda wote ukimuona hisia zinaamaka upya
Mkuu kwa wake zetu hawa wa kiswahili ukimpeleka Hotel au gest unaibua Maswali tata atakwambia ndio uchafu wako unapo fanyia hukuHow to restart your love?
Hii njia inasaidia sana kurudisha hisia kwa mwenzi wako.
Ukiweza toka nae nje ya mji au tafuta Lodge mzuri sana tulivu yenye hadhi nenda na mkeo kwa mshutukiza,
Mtakula chakula cha hoteli iyo siku hatopika wote mtatengewa kila kitu adi kitanda mtatandikiwa na muhudumu wa hoteli mtalala mtaamka asubuhi mama hana presha za kuamka mapema kuanza kazi za nyumbani mtapata mda mwingi sana wa kuwa pamoja bila kitu chochote kuingilia kati hakika nakwambia ukifanya ivyo ndani ya siku 3 ni sawa umekaa nae masaa 74 bila kumkosa mkeo.
Kwa mda huo mtaongea mengi sana ya kurekebishana na mkeo atapumzika na uko kuwa na furaha mda wote dhamilia kubadilisha kitu kama kuna swiming pool jiachie na mkeo na vitu vingine vingi.
It works 90% New environment new place new feeling.

Tatizo umeoa kwa kuangalia tabia sisi tulio oa kwa kuangalia sura na msambwanda mlitucheka.TABIA HAIWEZI KUKUDINDISHA ILA MSAMBWANDA NA SURA VINAWEZA

