Hisia na hamasa za Maandamano nchini: Mapokeo, Mitazamo na Uhalisia (Viongozi na Wananchi)

Ili kuwadhibiti wahuni wanaopanga maandamano ,balozi yeyote anayeiwakikisha nchi yetu nje ya nchi afukuzwe kazi mara moja !!Maana atakuwa ameonyesha kuwa yeye ni msaliti Wa maendeleo ya taifa letu!!
Unaaongea wakati wenzio tayari wamekubal

Pambaneni huko wa bushi tunazidi kula mahindi ya mwaka

tapatalk_1522079832818.png
 
Ni ujinga kukimbia uwanja wa mapambano halafu kuendelea kupiga domo za kuchochea mamburura waandamane huku home wakati nyie mmekimbia.
Igeni mfano wa mpambanaji Miguna Miguna huko Kenya.

Miguna Miguna anakataa kuondoka nchini Kenya hadi kieleweke.
Nyie macoward mbona mnatuacha peke yetu?
Pamoja na risks zote - Miguna Miguna amerudi kupambana nchini na Kenyata.
Au Kenya hakuna Risk za kuuwawa na wasiojulikana?
Nyie macoward mmekimbia uwanja wa mapambano mmebaki kupiga domo tu huko nje ili tukiandamana tufe wenyewe?
Rudini Tz tuandamane pamoja kama kweli nyie mna nia nzuri watanzania.
 
Napokea habari za ndani kuwa, Tarehe 26 Aprili kuna watu ambao bado hawajajulikana miongoni mwa wanaoyafadhili maandamano hayo kwa maslahi yao kisiasa, wamejiandaa kuwapiga risasi wenzao wakiwa katika maandamano ili baadae waseme wamepigwa na serikali. Inasemekana walengwa wakuu watakuwa wanawake na watoto hata wasiokuwa ktk maandamano ili wananchi wasiojua wahuzunike na kukasirika zaidi.

Njia nyingine wanahotaka kuitumia ni baadhi ya hao watu kuwarushia polisi risasi au hata kuwadhuru ili polisi ikitokea wakajibu mapigo ktk kujihami na kujilinda wautumie mwanya huo kuwadhuru wenzao. Lengo kuu ni kupata picha za watu waliojeruhiwa kwa risasi za moto au hata maiti ili wazitumie kuendeleza propaganda zao.

Lengo la maandamano ni kuhakikisha nchi inanuka na kuchafuka, na kwa mawazo yao wanaoona kadri waandamanaji wengi watakavyojeruhiwa au watakavyopigwa risasi siku hiyo au hata kufa ndiyo watakuwa wamefanikiwa ktk dhamira yao. Kwahiyo, kwa lolote lotakalotokea msije mkashtuka tena, maana itakuwa ni sehemu ya mkakati wao wa kupata picha za majeruhi na maiti nyingi zaidi. Bahati nzuri vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinalitambua hili, na ni matumaini yetu kuwa watalifanyia kazi kwa umakini mkubwa bila kuchoka.

Tuendelee kuliombea taifa, na watanzania walio wengi tuendelee kushikamana kama ambavyo tumefanya miaka zaidi ya 50 iliyopita, maana hii nguvu ya sasa ya kulichafua taifa letu ni kubwa kila kona. Huwa sizungumzi kitu ambacho sijapata taarifa zake, niliposikia kuhusu hili nilibaki mdomo wazi, na sasa nimeanza kuamini kuwa tumezungukwa na maadui kila kona wanaosubilia fursa ya kutekeleza hujuma zao.

Nikiikumbuka ile kauli ya kiongozi wao kuwa hata wakifa wananchi 100 au 200 ni sawa, kwamba yuko tayari kubeba majeneza ya watakaokufa, binafsi huwa nabaki kuililia nchi yangu, ili Mungu atuokoe na huyu mwovu.

Magoiga SN
 
Naona unatupa taarifa kwamba mnajiandaa kupiga risasi waandamanaji kama mlivyofanya kwenye uchaguzi wa Kinondoni!
 
hii nguvu ya sasa ya kulichafua taifa letu ni kubwa kila kona.
Naunga mkono hoja!, kumbe taifa letu ni safi ila linachafuliwa!.
Kumbe hata zile risasi 38 pale Dodoma, ni vijana walikuwa tuu kwenye mafunzo ya kulenga shabaha!. Hata ile ilimlenga Akwiline, ni Bahati mbaya tuu, ililengwa juu ikapinda kona!.

Na zile maiti zinazoopolewa kwenye viroba, ndio namna mpya ya mazishi ya kisasa kama alivyozikwa Osama, kufuatia ardhi ya kuzikia kupungua!.
Na haki ya kufanya siasa, ni ya chama kimoja tuu, chama dola!.
Kiukweli taifa letu ni taifa safi, takatifu, na viongozi wetu ni malaika, infact tunajipanga kushika nafasi ya malaika Mkuu!.

Mungu Ibariki Tanzania
P
 
Napokea habari za ndani kuwa, Tarehe 26 Aprili kuna watu ambao bado hawajajulikana miongoni mwa wanaoyafadhili maandamano hayo kwa maslahi yao kisiasa, wamejiandaa kuwapiga risasi wenzao wakiwa katika maandamano ili baadae waseme wamepigwa na serikali. Inasemekana walengwa wakuu watakuwa wanawake na watoto hata wasiokuwa ktk maandamano ili wananchi wasiojua wahuzunike na kukasirika zaidi.

Njia nyingine wanahotaka kuitumia ni baadhi ya hao watu kuwarushia polisi risasi au hata kuwadhuru ili polisi ikitokea wakajibu mapigo ktk kujihami na kujilinda wautumie mwanya huo kuwadhuru wenzao. Lengo kuu ni kupata picha za watu waliojeruhiwa kwa risasi za moto au hata maiti ili wazitumie kuendeleza propaganda zao.

Lengo la maandamano ni kuhakikisha nchi inanuka na kuchafuka, na kwa mawazo yao wanaoona kadri waandamanaji wengi watakavyojeruhiwa au watakavyopigwa risasi siku hiyo au hata kufa ndiyo watakuwa wamefanikiwa ktk dhamira yao. Kwahiyo, kwa lolote lotakalotokea msije mkashtuka tena, maana itakuwa ni sehemu ya mkakati wao wa kupata picha za majeruhi na maiti nyingi zaidi. Bahati nzuri vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinalitambua hili, na ni matumaini yetu kuwa watalifanyia kazi kwa umakini mkubwa bila kuchoka.

Tuendelee kuliombea taifa, na watanzania walio wengi tuendelee kushikamana kama ambavyo tumefanya miaka zaidi ya 50 iliyopita, maana hii nguvu ya sasa ya kulichafua taifa letu ni kubwa kila kona. Huwa sizungumzi kitu ambacho sijapata taarifa zake, niliposikia kuhusu hili nilibaki mdomo wazi, na sasa nimeanza kuamini kuwa tumezungukwa na maadui kila kona wanaosubilia fursa ya kutekeleza hujuma zao.

Nikiikumbuka ile kauli ya kiongozi wao kuwa hata wakifa wananchi 100 au 200 ni sawa, kwamba yuko tayari kubeba majeneza ya watakaokufa, binafsi huwa nabaki kuililia nchi yangu, ili Mungu atuokoe na huyu mwovu.

Magoiga SN
Taifa hili linahitaji ukombozi wa fikra sana
 
Naunga mkono hoja!, kumbe taifa letu ni safi ila linachafuliwa!.
Kumbe hata zile risasi 38 pale Dodoma, ni vijana walikuwa tuu kwenye mafunzo ya kulenga shabaha!. Hata ile ilimlenga Akwiline, ni Bahati mbaya tuu, ililengwa juu ikapinda kona!.

Na zile maiti zinazoopolewa kwenye viroba, ndio namna mpya ya kusika kisasa kama alivyozikwa Osama, kufuatia Ardhi ya kuzikia kupungua!.
Na haki ya kufanya siasa, ni ya chama kimoja tuu, chama dola!.
Kiukweli taifa letu ni taifa safi, takatifu, na viongozi wetu ni malaika, infact tunajipanga kushika nafasi ya malaika Mkuu!.

Mungu Ibariki Tanzania
P


AMEEN
 
Naunga mkono hoja!, kumbe taifa letu ni safi ila linachafuliwa!.
Kumbe hata zile risasi 38 pale Dodoma, ni vijana walikuwa tuu kwenye mafunzo ya kulenga shabaha!. Hata ile ilimlenga Akwiline, ni Bahati mbaya tuu, ililengwa juu ikapinda kona!.

Na zile maiti zinazoopolewa kwenye viroba, ndio namna mpya ya kusika kisasa kama alivyozikwa Osama, kufuatia Ardhi ya kuzikia kupungua!.
Na haki ya kufanya siasa, ni ya chama kimoja tuu, chama dola!.
Kiukweli taifa letu ni taifa safi, takatifu, na viongozi wetu ni malaika, infact tunajipanga kushika nafasi ya malaika Mkuu!.

Mungu Ibariki Tanzania
P
On point pascal..mr president anafanya mengi mazuri..lakini machache mabaya..ila ni yenye magnitude kubwa sana
 
On point pascal..mr president anafanya mengi mazuri..lakini machache mabaya..ila ni yenye magnitude kubwa sana
Mkuu The Valiant, hakuna yoyote anayesema Magufuli ni malaika, hivyo ni perfect, he is a human being, tunachotaka kwenye hayo machache mabaya, aonyeshe concern.

P.
 
Mpango huu umesukwa kwa ustadi wa juu sana na wabaya wa awamu hii ya 5 kushirikiana na baadhi ya maafisa wa serikali bila Mkuu kujua nia yao
.bila kujua kua viongozi wa juu hawawezi toa tamko la maandamano la tarehe 26/4/2018 Bali wana weza fanikisha hilo kwa kuwekwa ndani na kumwacha kubwa la majasusi njee AKA laigwan akifanikisha mipango na wafwasi wao nchi nzima kuchukia na kupata mihemko na kujitokeza kwa wingi sana 26/4/2018
Sisi ma mbwa hatuna nafasi ya kushauri kwa jili walio chomekwa kiundugu na wasio na sifa + ziro thinking ndo wapo kazini natumaini Mkuu atapata Ujumbe huu na kuwaachia ili asifanye maandamano yaje fanikiwa kwa kwa kuaikiliza ushauri wa wabaya wake bila kujua

Msifute hii
 
Hadithi za Shigongo hizi.....Kwa sasa linalotamba TINGATINGA TU atakayekutwa njiani atajua mwenyewe.

Usidhani kina Mbowe kupatadhamana ni kuogopeka bali kama sheria itawaruhusu watapewa na isiporuhusu watanyea debe tu....zama hizi huwezi kujificha nyuma ya kichaka cha ujanjaujanja...
 
Back
Top Bottom