Hisia na hamasa za Maandamano nchini: Mapokeo, Mitazamo na Uhalisia (Viongozi na Wananchi)

Safari hii mtaongea lugha zote huu sio UKUTA.
Ningekuwa mzee wa kubeti tungeweka mzigo, haya maandamano yatakuwa FIASCO ya hali ya juu. Afadhali hata UKUTA, nachoona ni bavicha mtakuwa bize kwenye keyboard kubadili gia kuwa HAYA MAANDAMANO NI YA KIFIKRA, kisha mtajitangazia ushindi mitamdaoni.
 
Ningekuwa mzee wa kubeti tungeweka mzigo, haya maandamano yatakuwa FIASCO ya hali ya juu. Afadhali hata UKUTA, nachoona ni bavicha mtakuwa bize kwenye keyboard kubadili gia kuwa HAYA MAANDAMANO NI YA KIFIKRA, kisha mtajitangazia ushindi mitamdaoni.
Bavicha ni wataalam mnoo wa behind keyboard issues. Hawana hoja kabisa, hadi wanatia huruma. Siku atakuja Mange awaambie wote wajae uwanja wa Taifa awashike makalio watakubali kwa sababu Da Mange kasema. Hawa ni malofa katika nchi hii.
 
Hakuna haki ya kuandamana katika serikali yeyote, isipokuwa kuna uhuru wa kutoa maoni, kufanya siasa, kuwa na jumuia mbalimbali, nk. Maandamano ni sawa na mgomo tu, ambao siku zote ni batili isipokuwa kuna maridhiano kati ya mgomaji na mgomewa, au kuna hati ya mahakama inayotoa kibali kufanyika hivyo.

Ni aibu kwa serikali yeyote kama raia watakuwa na maamuzi yao mkononi, wanaamua waandamane tu bila kupewa kibali. Hakuna serikali itafumbia macho kitu kama hiki. kama ni maandamano ya amani kwa nini msitoa taarifa kwa mamalaka husika? ni mara ngapi tuanaona taasisi na mashirika mbalimbali wanafanya maandamonao pasipo bugdha tena na ulinzi wa polisi unakuwepo?

Nchi bila sheria ba taratibu ni kama pori la wanyama wa mwituni tu. Sheria na taratibu zizingatiwe, atakaekaidi na apigwe tu.
Hujitambui na una fikra za kitumwa
 
Ni hoja nzuri, kwa ufupi tatizo ni watu wasio viongozi kujiiita/kujifanya/ viongozi na kutaka iwe watakavyo wao. Katika muktadha huo, ni makosa kudhani au kuamini kuwa Serikali zote duniani ni sawa kimantiki na kimaana au Serikali ziko kwa ajili ya wananchi na maslahi ya wananchi.

Na kwa Tanzania si haki ya maandamano tu, je ni haki ngapi za kawaida za kiraia zimezuiwa au kukanyagwa Awamu ya Tano?

Mpaka sasa sijajua ni kwa nini wananchi hawatumii mamlaka zao ipasavyo na badala yake wanaonewa na kudhalilishwa kiasi hicho.
 
Msemaji wa jeshi la polisi kawaambieni wazazi na walezi wote wawakanye watoto wao maana wasije wakalaumiana baadae na nyie hamuelewi
asije shangaa mke na watoto wake wakiwa mstari wa mbele , taarifa nilizonazo ni kwamba maandamano haya ni ya kitaifa
 
Sidhani kama huu ni muda muafaka kuandamana! nafikiri muda masiku miezi na miaka tunayopoteza kuongelea siasa tayari kila mmoja wetu angekuwa amezalisha bidhaa za kutosha au kama ni shamba amelima ekari hamsini peke yake kama trekta!

Nafikiri ni vizuri na muda muafaka kuwatoa watu vijiweni wanakovuta shisha na bangi na kuwatoa mitaani wanakoandamana na kuwalazimisha kufanya kazi yes lazima watu wafanye kazi kwa hiari na kwa lazima. nchi gani imejaa wavivu kazi kuongea tu hakuna utendaji wowote, ukienda maofisini watu wanafanya kazi kwa mazoea tu hakuna ubunifu wowote wala hatusomi nchi za wenzetu wanafanyaje kuendelea! Watu wa Bongo sote tumezoea vya kunyonga kuchinja hatuwezi.

Mimi binafsi I support bwana mkubwa asilimia mia mbili kwa kila anachofanya na watakaoandamana awanyooshe kikwelikweli yuko sahihi asilimia mia nane na ninamuombea sana na namsihi aweke pamba masikioni na akaze nati mara million zaidi ya sasa asijali mayowe ya wale wote wavivu.

Anyooshe nchi iliyooza zaidi kila kukicha ili kila mbongo aliezoea kupata ulaji kwa usanii, kuekti bongo muvi , kuimba mapenzi bongofleva , rushwa au ujanja ujanja sijui udalali viishe watu waondoe ubishoo washike majembe million hamsini tukishika jembe bongo itakuwa nchi ya asali.

Ninamuomba awape mawaziri targets kumi tu za kila mwaka na kwa anaeshindwa kutimiza targets zake asiangalie sura amtwange barua arudi uraiani manake kushindwa kwa waziri kufikisha malengo ni kushindwa kwa serikali na kushindwa kwa serikali ni kushindwa kwa bwana mkubwa, it is just a logic, mtoto akiwa muhuni anaelaumiwa si mtoto ni baba mtoto!

Wale wote wanaompinga naunga mkono awashughulikie kikweli kweli manake ni mabishoo tu waliozoea ufisadi na rushwa tu na wavivu tu ndio wanaompinga, mimi binafsi niko pamoja nae kwenye sala sababu nimekimbilia ulaya kukwepa kufa maskini kama wazee wetu waliotutangulia, bongo nchi tajiri ila ilikosa dereva imara na shupavu asietetereka ambae sasa tunae nawasihi wabongo wote tumsapoti please.

Dawa siku zote huwa chungu ila lazima tuimeze ili tupone huu umaskini uliotujaa tukipiga kazi vizuri bila ubishoo miaka kumi tutakuwa tumenyooka na sote tutakuwa wachapakazi hakuna aibu kupiga jembe, kufuga kuku, kuuza chipsi nk na kila kazi anayofanya mtu hata kama anaingiza buku alipe kodi japo mia moja na uwepo mfumo wa kusajili kila raia anaefanya kazi yoyote na uwepo mfumo rasmi wa kusajili wajasiriamali wote nchi nzima kodi ikusanywe kweli kweli miaka ishirini tuko level ingine.

Anachopaswa bwana mkubwa ni kujenga reli standard gauge nchi nzima sio njia moja tu hata akikopa mabilioni ya dola nje hadi vitukuu waje walipe asijali itajilipa tu na pia ajenge vyanzo vya umeme vya kutosha nchi nzima kiukweli mimi sijui waziri wa nishati na madini anafanya nini ofisini, kazi kuchukua mshahara wa bure tu kwa kufanya kazi za mazoea hakuna ubunifu wowote wa miradi mipya ya umeme na namsihi sana bwana mkubwa with his high level of confidence.

Sasa ni wakati muafaka we have to think big bwana mkubwa au waziri wake ni vizuri atembelee France wanakotumia umeme wa vinu vya nyuklia akajifunze na akope pesa benki ya dunia au China au Japan tuwekeze kwenye vinu vya nyuklia Mtwara sababu tukiwa na umeme wa vinu vya nyuklia ni biashara mubashara. Bishara ya maana ya hela ndefu na tunaweza kuuza umeme huo Afrika nzima na kutajirika haraka sababu tunayo uranium kibao Mtwara malighafi ya umeme tumebaki masikini tu! uranium kipande kidogo tu inapochomwa huwa inalipuka na kutoa umeme usio kifani sijui kwanini tumepewa na Mungu uranium tukashindwa kutumia brain zetu (mind)! kweli kwenye miti hakuna wajenzi! kupanga ni kuchagua! tuchague nyuklia wakati muafaka ni huu tunae dereva asielamba miguu watu weupe!

Hivi kwanini watu wa ngozi nyeusi hatuna mawazo makubwa tumejaa umaskini wa akili na roho , tumezoea uwe na nyumba na gari tu ku show off mtaani na tena siku zenyewe si nyingi ikizidi ni miaka sabini au themanini tunarudi mavumbini na kulazwa kwa nyimbo na mapambio na magwaride na mafataki na siku hizi waheshimiwa sana naona wanawekewa mfuniko wa zege kaburini ili hata mtu wa heshima akizinduka na kufufuka asiweze kutoka! Afe tena jumla kusubiri siku ya hukumu ambapo hakimu mkuu atamkamua majasho aliyokula ya wabongo wanyonge kupitia rushwa na ufisadi zake zote! hii ni kwa wanaoamini Mungu yupo na tukifa tunarudi kwake.

Hivi unajua sayansi imeshindwa kujua roho ni nini na inatengenezwaje na inatokaje? mfano roho ya mtu, kima, tumbili , nyani, tembo, ng'ombe, sisimizi na nyangumi zote ni sawa!

Ninasikitika sana sisi watu weusi kama mkaa au giza la usiku saba put together na tulioshiba na tunaonuka umasikini tuna akili finyu sana kama zinjanthropus na tuna mawazo ya chini sana! tunapenda sifa tu manake ndicho kitu kizazi kimoja kinarithisha kizazi kingine huwa haiji kimiujiza! wazee wetu wanapenda sifa za kijinga na vijana tunapenda sifa za kijinga na watoto wetu wanaiga sifa zetu za kijinga na kunyoa viduku na kukatika skelewu!

Kila siku tunawaza ugali na mapanki tu sababu minofu si inaenda ulaya, badala ya mtu kuwaza afanye nini kupiga hela awe na real estate anawaza mjengo na Rav4!! badala ya mtu kuwaza afanye nini kupiga hela ya kununua shamba anatumia mwezi mzima kuwaza atavaa gwanda rangi gani na atatumia mbio ndefu kiasi gani kuwakimbia na kuwakwepa FFU siku ile watakayoandamana na kutwangana na wajeda!

Nasema haya yote si kutoka hewani bali natoa katika digrii yangu ya uzamili ya maendeleo ninayomalizia mwaka huu hapa nchi iliyo tajiri hapa ulaya na natumia uzoefu wa maisha yangu ya bongo na maisha yangu ya kila siku hapa ulaya miaka kibao sasa napishana na wazungu. nchi huendelezwa kwa mambo matatu , kodi, reli na umeme, hizo vitu tatu pekee huzaa viwanda, biashara na wawekezaji hujileta wenyewe na kilimo cha kisasa huja bila kutumia nguvu.

Kitaalamu ili nchi ipae kimaendeleo inapaswa kuwa na asilimia 20 tu ya population iwe ni ya wakulima wanaotakiwa kulisha nchi nzima na asilimia 80 ya population wawe katika industry and services and this is vice versa kwa bongo kwahiyo wanaosubiri maendeleo wajue inaweza kuchukua miaka 1000 kuyafikia lakini pia madereva wajao pia wawe na kaliba ya dereva huyu wa sasa.

Napenda wakuu lau wangenipa consultancy tu nisaidie sera za maendeleo nchi yangu. go go bwana mkubwa. wasaidizi wa mkubwa wa boma humu Jf nawasihi wamsomee hii comment please!

Bwana mkubwa yuko kwenye right track azibe masikio, ila si vibaya nikiri mimi ni CCM damu!
Muda gani ni muafaka, wakati huyo jamaa yako Ngosha anaua watu kila siku? Anajifanya ngangari wakati viatu vya urais vinampwaya anabaki kuonyesha udikteta wake na umbumbumbu wake.
 
Hasira ya kuminya uhuru na demokrasia ni kubwa kuliko hiyo. Hii haitoki kwa mabeberu. Inatoka kwa wananchi ambayo wamenyimwa basic freedoms za kutoa mawazo, kukusanyika, nk.
This is exactly the concerned of the people. To add, My questions:

1. Vita ya uchumi ina uhusiano gani na bunge kuonyeshwa mubashara?

2. Inahusianaje na mikutano ya vyama vya siasa?

3. Ni serikali ya chama kipi iliyofunga mikataba mibovu ambayo leo inalitesa taifa?

4. Rais wetu anatoka chama gani?

5. Baada ya kujibu sasa mikutano ya kisiasa imemzuia rais kufanya nini? (imezuia viwanda, imezuia kilimo bora na mifugo, imezuia imf/wb kutoa mikopo?) rais anaogopa kusemwa maana si msafi hata kidogo na ajue tunachukia mwenendo huo na kwamba kama kuwa na uchumi bora maana yake ni haya mateso bora turudi misri
 
a958abe7293d4edf593c8f2e50a7cce4.jpeg
 
Nenda zako. Hayo ndio maneno yenu manyumbu nyie. Hii nchi kila mtu anayohaki yake. Hii nchi sio ya CCM wala magu.
Ccm ndiyo wameharibu nchi kwa kuuza rasilimali na upinzani ndo wamefichua hayo maovu. Mnachofanya ni kuwafumba midomo but it is too late. Tayari wananchi tunajua mbivu na mbichi. Pia jueni huwa hatuwachagui katika chaguzi. Kama una hqkika unashinda polisi wa nini? Mauaji ya nini? Kwa nn usilete katiba mpya ccm? Haupo mioyoni mwetu, ulishakufa na siku zako zinakuja
 
Mimi SITAKI kuandamana na kondoo wenye malengo yasiyoeleweka na mipango ya kipuuzi, which means Nitakua nimepumzika kwangu naangalia kideo mana ni public holiday.

You people dont even know what you think you know.

Mnapigana vita msiyoijua..hata wewe mwenyewe nikikuuliza hapa uniambie;

1. Sababu ya kuhisi hayo maandamano ni halali?
2. Mlishajaribu njia nyingine mpaka kufikia hatua ya kuona kwamba hiyo ndo njia pekee ya kusikilizwa?
3. Kwa kuandamana huko mtapata nini na msipokipata mnampango gani mbadala?

-Hutaweza kujua na to show how stupid you all buffoons are mnafikiri kwa kupiga kelele kubwa ndio mtasikika.

Tafuteni platform nzuri ya kuwaeleza viongozi wenu hayo mnayofikiri hawayafahamu wakikataa kuwasikiliza basi mje na sera mbadala ya amani sio kutembea barabarani kama mbuzi wametoka machungani you inglorious manure stinking morons!
Sidhani kama unajua haki na wajibu wako na pua hujui katiba ya nchi yako inasema nini? You are a slave in your mind. Nothing you postive you contribute to this country. You can eat and sleep but never think
 
Katiba inaruhusu maandamano na katiba hiyohiyo inampa mamlaka polisi kuyapiga marufuku maandamano. So ukiona polisi wamepiga marufuku, hawajavunja sheria kama watu wengine wanavyodanganya.
Tatizo mi ninaloona sio maandamano ila ni theme ya maandamano. Malengo ni kuungoa madarakani uongozi wa JPM, kitu ambacho kisheria ni uhaini. Na kosa la uhaini ni kifo.
Kama inawezekana wabadiri theme then waombe kibali ili waruhusiwe.
Acha kudanganya. Unadhani wote humu ni drs 4? Hui ni mutindio wa ubongo. Wazazi wako hawajakupa msosi wa maana ndiyo maana huna uwezo wa kuelewa hata ukisoma kiswahili. Pole
 
Acha kudanganya. Unadhani wote humu ni drs 4? Hui ni mutindio wa ubongo. Wazazi wako hawajakupa msosi wa maana ndiyo maana huna uwezo wa kuelewa hata ukisoma kiswahili. Pole
Hii ndio tofauti yangu mimi na wewe. Kozi japo mimi ni darasa la 4 lakini nimetoa hoja, wewe ambae ni prof unaishia kutukana. Nina imani wazazi wako wamefaidika sana na elimu yako ya matusi ulibobea.
Nimekuwekea hy doc usome labda matusi yataongezeka.
We zamwamwa, sikunyingine usikurupuke.
 

Attachments

  • Sheria+ya+Polisi+na+wasaidizi+wa+Polisi.pdf
    474.6 KB · Views: 41
Ili kuwadhibiti wahuni wanaopanga maandamano ,balozi yeyote anayeiwakikisha nchi yetu nje ya nchi afukuzwe kazi mara moja !!Maana atakuwa ameonyesha kuwa yeye ni msaliti Wa maendeleo ya taifa letu!!
 
Back
Top Bottom