Ndugu zangu, mimi nilinunua hisa za nmb kupitia nicol na tccia mwaka 2006. Tangia hapo sijawahi kupatas gawio hata shilingi moja. Je kuna mtu ambaye aliishawahi kupata gawio kutoka hayo makampuni niliyoyatata. Ili kupata taarifa zaidi juu ya hisa zangu naweza kufanyaje. Naomba ushauri wandugu